Ndo mana nilisema maelezo hayajatoshaMkuu tuambie kuhusu saut campus ya Mwanza,,,mazingira,ubora wa elimu,makazi ya kuishi na gharama zake,chakula na upatikanaji wake,mahusiano ya kimapenzi(kwani nilisikia mliua MTU huko),fursa za kibiashara kwa mwanachuo na starehe
Mazingira yako poa, gharama za msos na fuu ada inatofautiana kulingana na kozi lakin sio zaid ya 1.4m ila kama education 1.26mMkuu tuambie kuhusu saut campus ya Mwanza,,,mazingira,ubora wa elimu,makazi ya kuishi na gharama zake,chakula na upatikanaji wake,mahusiano ya kimapenzi(kwani nilisikia mliua MTU huko),fursa za kibiashara kwa mwanachuo na starehe
Ndo mana nilisema maelezo hayajatosha
Yes ni fursa mpya yakuweza kufahamiana zaidi, maisha yamekuwa tyt muda wa kutafutana umebana so kupitia hiki kitu twaweza juana kwa urahisi na update mbali mbali mkuuDu kila chuo thread ila sasa mbona hujatoa maelezo ya kushiba kuhusiana na chuo
Kwa nini usiziweke hapa kila mtu azijue mkuu??Kama wewe ni Mwanafunzi njoo inbox nkupe fursa itakayo kufanya uishi Kama mfalme chuoni. Fursa itakayo kuwezesha na kukurahisishia Maisha yako hapo chuoni kiuchumi.
Uwe na smartphone tu.
Sawa mkuuMkuu tuambie kuhusu saut campus ya Mwanza,,,mazingira,ubora wa elimu,makazi ya kuishi na gharama zake,chakula na upatikanaji wake,mahusiano ya kimapenzi(kwani nilisikia mliua MTU huko),fursa za kibiashara kwa mwanachuo na starehe
Umenikumbusha born Fire mkuu hahaha nishida sn hapo aisee na FAWASCOMazingira yako poa, gharama za msos na fuu ada inatofautiana kulingana na kozi lakin sio zaid ya 1.4m ila kama education 1.26m
Starehe na madem hayo ni mambo ya kawaida katika vyuo utafanya kadri upendavyo pia chuo hua kina leta wasanii mbalimbali ili kutoa burudan
Kuna Baadhi ya shoo kama Galanight ,Bonifire na zingine izo lazima ufurahie.
Wakufunzi wapo wa kutosha wengi masters ,kiasi dokta na maprofesa wapo.
Pia swala la msuli pale ni kawaida kushida chuo adi usku ni kawaida.