Watafute wakili wa kimataifa huenda wakaambulia chochote.
umenikumbusha ile movie ya wale watoto inaitwa Africa united, kuna ule wimbo wa kwaya ya dini, kama sikosei kijitonyama wale waliimba 'hakuna Mungu kama wewe', sina hakika kama na wao wamelipwa
Anselm Soggy The-Entertainer
‎-Jamani nakumbuka mwaka 98 au 99 nilimuandikia wimbo Florence Kassela maarufu kama DATAZ na nikashirikiana nae pia kuuimba huo wimbo na tuliurekodi kwa Enrico pale Soundcrafters na aliyelipa gharama za studio alikuwa ni Taji Liundi wimbo uliitwa SIKUTAKI TENA....Kuna ufisadi umefanyika wimbo umewekwa kwenye movie ya Wamarekani inaitwa SOMETIMES IN APRIL ikizungumzia mauaji ya Rwanda sasa mpaka leo huwa najiuliza ni nani aliuza huo wimbo na kwanini hatukupewa hata sumni...I HATE THIS COUNTRY