Sajili Muhimu kwa vilabu vya Kariakoo

Sajili Muhimu kwa vilabu vya Kariakoo

Eliad Theobard

New Member
Joined
Nov 29, 2022
Posts
1
Reaction score
0
Vilabu hivi viwili SIMBA pamoja na YANGA vina mapungufu katika vikosi vyao ukianza na mabingwa watetezi YANGA wamekuwa na tatizo kwenye safu yao ya ulinzi pamoja na kiungo wa kati nafasi ambazo humlazimu Yanick Bangala kucheza nafasi zote mbili kadiri ya mahitaji ya meji hivyo yanga inahitaji saini ya beki wa katibkwakuwa Bangala ni kiungo mkabaji mabekibwaliopo hawakizi mahitaji ya timu kimataifa yanga lazima watumie dirisha hili dogo kujiandaa na makundi ya shirikisho Afrika.
 
Vilabu hivi viwili SIMBA pamoja na YANGA vina mapungufu katika vikosi vyao ukianza na mabingwa watetezi YANGA wamekuwa na tatizo kwenye safu yao ya ulinzi pamoja na kiungo wa kati nafasi ambazo humlazimu Yanick Bangala kucheza nafasi zote mbili kadiri ya mahitaji ya meji hivyo yanga inahitaji saini ya beki wa katibkwakuwa Bangala ni kiungo mkabaji mabekibwaliopo hawakizi mahitaji ya timu kimataifa yanga lazima watumie dirisha hili dogo kujiandaa na makundi ya shirikisho Afrika.
Sawa mjumbe.
 
Umeanza na Yanga ila umeshindwa kumalizia na Simba. Tatizo la kula viporo vya mihogo ndio linawasumbua utopolo wengi
 
Umeanza na Yanga ila umeshindwa kumalizia na Simba. Tatizo la kula viporo vya mihogo ndio linawasumbua utopolo wengi
Mimi pia nimeshangaa.. ila labda makolo makolo mapungufu ni mengi jamaa akaona atajaza kitabu kizima kwaiyo akavunga tu
 
Back
Top Bottom