Sajuki anaendelea vema mda wowote atarejea nyumbani

Sajuki anaendelea vema mda wowote atarejea nyumbani

Status
Not open for further replies.

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2010
Posts
17,005
Reaction score
20,425
Sekion Devidi kiongozi wa kundi la Orijino Komedi anasema:

Nimezungumza na SAJUKI na mkewe Wastara kwa dakika 15;Dakika moja iliyopita! Afya yake inaimarika na anaweza rejea Tanzania mapema!

MASANJA MKANDAMIZAJI nae anasema:

Ndugu yetu Sajuki anaendelea vizuri! Muda si mrefu uliopita mkewe amezungumza kwa njia ya simu na mwakilishi wa kundi la Orijino Komedi!

Hivyo UZUSHI uliotapakaa hapa na kwingine hasa ukianzia INDIA ktk mtandao wa Mehraj News na nchini Kenya ktk mtandao wa Kenya Daily News, kuwa msaniii wa maigizo wa Tanzania ndugu yetu SAJUKI ametutoka sio kweli!
 
Asante kwa taarifa vile vile hongera mods kwa kufunga zile thread za uzushi. Tunakuombea maisha marefu Sajuki.
 
Yule jamaa ni mpumbavu sana. Sijui linajisikiaje huko lilipo. Nafsi inakusuta wewe mjinga na mpuuzi mkubwa, hayawani tena malaya wa habari, taka taka we mwanaume au mwanamke usiyeoga. Kenge mkubwa, kimbulu mwenye njaa, paka shume ambaye hukamati panya kazi yako ni kuiba kuku za watu. Mwanakharamu na khanithi mkubwa kabisa, shetani wa mguu mmoja we. Ukome na ukomae akili yako ya matope siku nyingine usilete upuuzi wako hapa. Nyani kasoro mkia we DIALLO. Nyoko zako we, mshenzi mkubwa mbwa asiye fugika. Iwe mwanzo na mwisho kuwazushia kifo wenzako. Kufa wewe kama unataka. ****** wee.
 
Yule jamaa ni mpumbavu sana. Sijui linajisikiaje huko lilipo. Nafsi inakusuta wewe mjinga na mpuuzi mkubwa, hayawani tena malaya wa habari, taka taka we mwanaume au mwanamke usiyeoga. Kenge mkubwa, kimbulu mwenye njaa, paka shume ambaye hukamati panya kazi yako ni kuiba kuku za watu. Mwanakharamu na khanithi mkubwa kabisa, shetani wa mguu mmoja we. Ukome na ukomae akili yako ya matope siku nyingine usilete upuuzi wako hapa. Nyani kasoro mkia we DIALLO. Nyoko zako we, mshenzi mkubwa mbwa asiye fugika. Iwe mwanzo na mwisho kuwazushia kifo wenzako. Kufa wewe kama unataka. ****** wee.
Haaahaaaa ebwaaanaeee kwa mara yakwanza nashuhudia matusi marefu kiasi hiki! Naamini jamaa hatarudia tena! Haahaaaahaa aaaaha!
 
Yule jamaa ni mpumbavu sana. Sijui linajisikiaje huko lilipo. Nafsi inakusuta wewe mjinga na mpuuzi mkubwa, hayawani tena malaya wa habari, taka taka we mwanaume au mwanamke usiyeoga. Kenge mkubwa, kimbulu mwenye njaa, paka shume ambaye hukamati panya kazi yako ni kuiba kuku za watu. Mwanakharamu na khanithi mkubwa kabisa, shetani wa mguu mmoja we. Ukome na ukomae akili yako ya matope siku nyingine usilete upuuzi wako hapa. Nyani kasoro mkia we DIALLO. Nyoko zako we, mshenzi mkubwa mbwa asiye fugika. Iwe mwanzo na mwisho kuwazushia kifo wenzako. Kufa wewe kama unataka. ****** wee.

Duuh, dizaini ungebahatika kumuona huyo aliyeweka huo uzi wa kijinga na kizushi hakika ungemnyotoa roho maana kwa mitusi hii sikupatii maelezo jinsi ulivyoghadhibika.
 
Yule jamaa ni mpumbavu sana. Sijui linajisikiaje huko lilipo. Nafsi inakusuta wewe mjinga na mpuuzi mkubwa, hayawani tena malaya wa habari, taka taka we mwanaume au mwanamke usiyeoga. Kenge mkubwa, kimbulu mwenye njaa, paka shume ambaye hukamati panya kazi yako ni kuiba kuku za watu. Mwanakharamu na khanithi mkubwa kabisa, shetani wa mguu mmoja we. Ukome na ukomae akili yako ya matope siku nyingine usilete upuuzi wako hapa. Nyani kasoro mkia we DIALLO. Nyoko zako we, mshenzi mkubwa mbwa asiye fugika. Iwe mwanzo na mwisho kuwazushia kifo wenzako. Kufa wewe kama unataka. ****** wee.


Ningekupokea mkuu lakini kengele za sabato zishaanza kugongwa huko nje nazisikia.

Ila siwezi kumuacha ivihivi...
''ushuzi wako''
Nyooooo
 
Yule jamaa ni mpumbavu
sana. Sijui linajisikiaje huko lilipo. Nafsi inakusuta wewe mjinga na
mpuuzi mkubwa, hayawani tena malaya wa habari, taka taka we mwanaume au
mwanamke usiyeoga. Kenge mkubwa, kimbulu mwenye njaa, paka shume ambaye
hukamati panya kazi yako ni kuiba kuku za watu. Mwanakharamu na khanithi
mkubwa kabisa, shetani wa mguu mmoja we. Ukome na ukomae akili yako ya
matope siku nyingine usilete upuuzi wako hapa. Nyani kasoro mkia we
DIALLO. Nyoko zako we, mshenzi mkubwa mbwa asiye fugika. Iwe mwanzo na
mwisho kuwazushia kifo wenzako. Kufa wewe kama unataka. ******
wee.

Mwe!

Wanamagamba ndio wenye tabia ya kuiharibu taswira ya Jf kwa jamii, wanastahili matusi haya.
 
Duh pande hizi ni kwa watu wanaohitaji ban nini naona watu wanajiachia tu.Ijapokuwa kuleta uzushi ni mbaya na sisi nao tuangalie lugha zetu simnajua hasira hasara
 
Kuna watu wana-post habari ili wapate umaarufu tu, jamaa jana limeandika habari za kifo na akasema anakwenda kulala kwa uchungu alio nao.... kumbe habari hewa.!!!


Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
 
Yule jamaa ni mpumbavu sana. Sijui linajisikiaje huko lilipo. Nafsi inakusuta wewe mjinga na mpuuzi mkubwa, hayawani tena malaya wa habari, taka taka we mwanaume au mwanamke usiyeoga. Kenge mkubwa, kimbulu mwenye njaa, paka shume ambaye hukamati panya kazi yako ni kuiba kuku za watu. Mwanakharamu na khanithi mkubwa kabisa, shetani wa mguu mmoja we. Ukome na ukomae akili yako ya matope siku nyingine usilete upuuzi wako hapa. Nyani kasoro mkia we DIALLO. Nyoko zako we, mshenzi mkubwa mbwa asiye fugika. Iwe mwanzo na mwisho kuwazushia kifo wenzako. Kufa wewe kama unataka. ****** wee.

Mkuu huwa unahusika na utunzi wa taarab?
 
Yule dogo SAJUTI SINA TATIZO NAE KABISA, SA AKITOKEA ******** kama huyo alieanzisha uzi wake inauma kido ila na JUMAKIDOGO Umezidisha maneno ya haja kubwa. JIFUNZE kutotoa maneno kama hayo kupitia mdomoni mwako, ungeweza kuyatoa via *(&^#! ****8 ingekuwa mwake lo!
 
Yule jamaa ni mpumbavu sana. Sijui linajisikiaje huko lilipo. Nafsi inakusuta wewe mjinga na mpuuzi mkubwa, hayawani tena malaya wa habari, taka taka we mwanaume au mwanamke usiyeoga. Kenge mkubwa, kimbulu mwenye njaa, paka shume ambaye hukamati panya kazi yako ni kuiba kuku za watu. Mwanakharamu na khanithi mkubwa kabisa, shetani wa mguu mmoja we. Ukome na ukomae akili yako ya matope siku nyingine usilete upuuzi wako hapa. Nyani kasoro mkia we DIALLO. Nyoko zako we, mshenzi mkubwa mbwa asiye fugika. Iwe mwanzo na mwisho kuwazushia kifo wenzako. Kufa wewe kama unataka. ****** wee.

Chachandu la leo nn?
 
Yule jamaa ni mpumbavu sana. Sijui linajisikiaje huko lilipo. Nafsi inakusuta wewe mjinga na mpuuzi mkubwa, hayawani tena malaya wa habari, taka taka we mwanaume au mwanamke usiyeoga. Kenge mkubwa, kimbulu mwenye njaa, paka shume ambaye hukamati panya kazi yako ni kuiba kuku za watu. Mwanakharamu na khanithi mkubwa kabisa, shetani wa mguu mmoja we. Ukome na ukomae akili yako ya matope siku nyingine usilete upuuzi wako hapa. Nyani kasoro mkia we DIALLO. Nyoko zako we, mshenzi mkubwa mbwa asiye fugika. Iwe mwanzo na mwisho kuwazushia kifo wenzako. Kufa wewe kama unataka. ****** wee.
alifanya vibaya,ila matusi ya namna hii,hayafai jamani.
 
astaghafirulah x 3,haonekane na id ya uongo angekuwa live sipati picha,but ujumbe umefika
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom