Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku sakafu kule Uti wa Mgongo, tufate kipi?UTI WA MGONGO!:
CHOCHOTE MUDA MWINGINE NI UWEKEZAJI WA WATOTO - HAKUNA ALIYEZALIWA KUFIKIRIHuku sakafu kule Uti wa Mgongo, tufate kipi?
Mhh!🤸♂️🤸♂️CHOCHOTE MUDA MWINGINE NI UWEKEZAJI WA WATOTO - HAKUNA ALIYEZALIWA KUFIKIRI
Chama cha Chapinduzi kina utaratibu wa kuupdate ILANI yake kila mwaka..! Mwaka huu Mjadala utawashirikisha JF kwa njia ya kuchangia na kuorodhesha LAANA ambazo mwanadamu ANAZANI ambazo hazipatiwi majibu kila mwaka ili CCM izipatie MAJIBU na kuweka kama kipaumbele kwenye ILANI (KISWAHILI LANI (iLANI))... Andika chochote utajua tu kuwa NCHI YA TANZANIA IMEPATA MAENDELEO KWA ASILIMIA 89 kilichobaki ni KULANI TU ili ILANI IWE NA NGUVU..
Mie kama mdau
1. Laana ya watu kuuziwa VITUNGUU/NYANYA/KAROTI/TIKITI/TANGO ZILIZOOZA
2. Laana ya watu kutotembea nchi nzima kujua mema ya nchi hii (kama barabara, meli n.k)
3. Laana ya WaTANZANIA kutokujua UJAMAA NA KUJITEGEMEA
4. Laana ya kushindana kuelewa HAMNA
5.Laana ya KUSOMA BILA KUTUMIA ELIMU YAKO KUISHI KIVYAKO VYAKO NA UZIO MKALI (KAMA NI NYUMBA KWELI UZIO WA JELA)
6.
PUNCH
Nimepata msamiati mpya hapa (mosaic) =vipande vya vigae.View attachment 1998389
Vipande vya vigae (mosaic) vilipangwa kuleta picha. Huhitaji zulia huu ndiyo urembo wa nyumba. Hii picha ikipatikana Uturuki.
We jamaa ni professor? Maake maprofesa huwa mna lugha ya namna yake kuwaelewa yapasa mtu atulize sana akili na umakini kama kutazama sinema ambayo inatumia lugha usiyoielewaCHOCHOTE MUDA MWINGINE NI UWEKEZAJI WA WATOTO - HAKUNA ALIYEZALIWA KUFIKIRI
Chama cha Chapinduzi kina utaratibu wa kuupdate ILANI yake kila mwaka..! Mwaka huu Mjadala utawashirikisha JF kwa njia ya kuchangia na kuorodhesha LAANA ambazo mwanadamu ANAZANI ambazo hazipatiwi majibu kila mwaka ili CCM izipatie MAJIBU na kuweka kama kipaumbele kwenye ILANI (KISWAHILI LANI (iLANI))... Andika chochote utajua tu kuwa NCHI YA TANZANIA IMEPATA MAENDELEO KWA ASILIMIA 89 kilichobaki ni KULANI TU ili ILANI IWE NA NGUVU..
Mie kama mdau
1. Laana ya watu kuuziwa VITUNGUU/NYANYA/KAROTI/TIKITI/TANGO ZILIZOOZA
2. Laana ya watu kutotembea nchi nzima kujua mema ya nchi hii (kama barabara, meli n.k)
3. Laana ya WaTANZANIA kutokujua UJAMAA NA KUJITEGEMEA
4. Laana ya kushindana kuelewa HAMNA
5.Laana ya KUSOMA BILA KUTUMIA ELIMU YAKO KUISHI KIVYAKO VYAKO NA UZIO MKALI (KAMA NI NYUMBA KWELI UZIO WA JELA)
6.
PUNCH
[emoji16][emoji16][emoji16]CHOCHOTE MUDA MWINGINE NI UWEKEZAJI WA WATOTO - HAKUNA ALIYEZALIWA KUFIKIRI
Chama cha Chapinduzi kina utaratibu wa kuupdate ILANI yake kila mwaka..! Mwaka huu Mjadala utawashirikisha JF kwa njia ya kuchangia na kuorodhesha LAANA ambazo mwanadamu ANAZANI ambazo hazipatiwi majibu kila mwaka ili CCM izipatie MAJIBU na kuweka kama kipaumbele kwenye ILANI (KISWAHILI LANI (iLANI))... Andika chochote utajua tu kuwa NCHI YA TANZANIA IMEPATA MAENDELEO KWA ASILIMIA 89 kilichobaki ni KULANI TU ili ILANI IWE NA NGUVU..
Mie kama mdau
1. Laana ya watu kuuziwa VITUNGUU/NYANYA/KAROTI/TIKITI/TANGO ZILIZOOZA
2. Laana ya watu kutotembea nchi nzima kujua mema ya nchi hii (kama barabara, meli n.k)
3. Laana ya WaTANZANIA kutokujua UJAMAA NA KUJITEGEMEA
4. Laana ya kushindana kuelewa HAMNA
5.Laana ya KUSOMA BILA KUTUMIA ELIMU YAKO KUISHI KIVYAKO VYAKO NA UZIO MKALI (KAMA NI NYUMBA KWELI UZIO WA JELA)
6.
PUNCH
Naamini mosaic ni zile tiles zenye rangirangi tafauti zinatumika kwa ajili ya mapambo. Au nimekosea?Nimepata msamiati mpya hapa (mosaic) =vipande vya vigae.
Sijajua vigae vyenyewe vinaitwaje?..........
Kigae - tile(s)Nimepata msamiati mpya hapa (mosaic) =vipande vya vigae.
Sijajua vigae vyenyewe vinaitwaje?..........
Dah..View attachment 1998389
Vipande vya vigae (mosaic) vilipangwa kuleta picha. Huhitaji zulia huu ndiyo urembo wa nyumba. Hii picha ikipatikana Uturuki.
[emoji120][emoji120]Kigae - tile(s)
Shahidi mahakamani anakwambia chukua vyoteeeeHuku sakafu kule Uti wa Mgongo, tufate kipi?
😂😂😂Huku sakafu kule Uti wa Mgongo, tufate kipi?
🤣😇😃Shahidi mahakamani anakwambia chukua vyoteeee