Sakata la behewa na vichwa vya treni vilivyotumika: Iundwe Tume Huru kuchunguza mchakato mzima wa manunuzi

Sakata la behewa na vichwa vya treni vilivyotumika: Iundwe Tume Huru kuchunguza mchakato mzima wa manunuzi

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Kwa yanayoendelea kuhusui sakata hili(mchakato wa manunuzi), ni vema ikaundwa Tume Huru kuchunguza mchakato mzima ulivyofanyika.

Watanzania tunataka kujua kama sheria husika zilifuata na kama bei ni halali kulingana na mali ilioyonunuliwa.

Kuna mambo tunasoma mitandaoni mpaka tunabaki midomo wazi na mfano mzuri ni bandiko la Martin Maranja Masese kupitia akaunti yake ya twitter juu ya sakata hili zima.

Sakata hili linataka kufanana na lile la Richmond hivyo nalo liundiwe tume watanzania tujue ukweli ni upi.
 

Attachments

  • Screenshot_20221208-080650_Twitter.jpg
    Screenshot_20221208-080650_Twitter.jpg
    166.3 KB · Views: 4
  • Screenshot_20221208-080656_Twitter.jpg
    Screenshot_20221208-080656_Twitter.jpg
    172.2 KB · Views: 2
Nchi ya wajinga tayari watu wameshapiga! Mpaka siku uzezeta utapotuisha na haya majizi ya c.c.m nayo ndio yataacha kuiba!
 
Wabongo bhana nakumbuka Kenya walivyofungua SGR yao walikuwa wanawacheka treni walizonunua, Wabongo wakawa wanatupia picha za bullet trains za Ulaya na Japan kwamba ndiyo zitatambaa Bongo, unafikiri evil Uhuru alifurahia ? Sasa Magu hayupo tumepata treni mbaya klk za evil Uhuru, …
 
Nashangaa sana watu waliomuita jiwe shetani!!.?
Shetani lile lilitupa umeme na maji
 
Back
Top Bottom