Sakata la Bernard Morrison, Mtendaji Mkuu Senzo Batha abwaga manyanga Simba SC.

Simba kwa hili Ni kuishoofisha tu yanga cyo. Kingine mchezaji ana kiburi unadhani watakujakuiva na senzo .Hapna ni usajili wa mihemko haufati professionalism mnk mm morison Hana jipya kivile Ni wa kawida Sana na kama Ni yuko Safi bas tulitegemea kumuona. Uko tp mazembe ama elmeereki
 
Huyooo...
 
Hizi timu zishakuwa kama siasa tu!
 
Simba ilishaanza kuwa stable. Sasa inarudi enzi ya Wazee wa 10% hans Pope, hajj , kaburu na kundi lao.
 
Uliandika huu Uzi ufute sasa, maana umeandika kwa hisia bila kua na ukweli wa habari,
Maana kuna taarifa kua anaenda Yanga ko sio kwa sababu ya usajili wa Morison
 
Daaaaaah we jamaa unajua kutengeneza nadharia ambazo hazina uhalisia? Ulivyoripoti utafikiri ndo alivyosema Senzo kwenye tweet yake,
Kuna siku hizi nadharia mtakuja kuzikataa muda ukifika
Mkuu hivi ulisoma kipande hiki cha maelezo?
Hapo chini ina maanisha huyo content manager ndiyo alikuwa msimuliaji wa hayo uliyotilia shaka kama ni nadharia za muandishi wa hii habari. Huyo ndiyo alikuwa na taarifa za ndani hatua kwa hatua.
Nilikuwepo na Social Media Content Manager pande fulani usiku wa Jana. Jamaa akanimwagia mchele chini ya kwamba sakata la BM kusaini Simba SC litaondoka na mtu, Sikumuelewa.
 
Uliandika huu Uzi ufute sasa, maana umeandika kwa hisia bila kua na ukweli wa habari,
Maana kuna taarifa kua anaenda Yanga ko sio kwa sababu ya usajili wa Morison

Unataka kutuaminisha kuwa ameenda Yanga kwa sababu Yanga wamemlipa senzo mshahara mkubwa kuzidi ule aliokuwa akilipwa na Mwamedi?
 
Simba ilishaanza kuwa stable. Sasa inarudi enzi ya Wazee wa 10% hans Pope, hajj , kaburu na kundi lao.

Manara alitaka kuoa mke wa pili, ila kikwazo alikuwa senzo.

Mda si mrefu atatangaza harusi maana 10 pasenti iko nje nje hivi sasa.
 
Nyie mbwa mkimaliza kubweka wenye nyumba tutaamka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…