Sasa kwanini wakamcheleweshea boom wakati wanajua ndo miguu ya huyo mwanafunzi, kumbe tabora nako kuna chuo kikuu
ndugu josiah kibira kipo bukoba ni tawi la makumira kama kama una ndugu yako anatafuta chuo usithubutu kummshauri kukichagua kwani hatakusahau maisha yako yote mpaka anakufa ni chuo kikuu ambacho uongozi wake haufai na hakifai kuwa hata chuo cha nursery.!!!!!