Sakata la "Feitoto'" kusikilizwa Tena Mei 4, 2023

Sakata la "Feitoto'" kusikilizwa Tena Mei 4, 2023

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Kiungo Feisal Salum 'Fei Toto' alifika mbele ya Kamati ya Sheria na Hadhi za wachezaji leo Aprili 12, 2023 kujua hatma ya barua yake ya kuomba kuvunja mkataba na klabu ya Yanga,

Fei Toto aliongozana na wakili wake Fatma Karume ambaye baada ya kumaliza kusikilizwa leo amesema kuna vitu vya kisheria vinatakiwa kuwasilishwa Aprili 18 na 25 na Mei 4 ndipo rasmi shauri litasikilizwa tena.

"Tunasubiri Mei 4 tutasikilizwa," amezungumza Karume ambaye aliulizwa kuhusu uelekeo wa sakata hilo na kusema hana chochote cha kuzungumza.

Chanzo: Mwananchi.
 
Utopolo wapumbavu sana..... sio timu ya kucheza mtu mwenye future
 
Shule nayo ni jambo la msingi aisee inasaidia sana aliyoyapeleka TFF Yanga walitangaza Yeye anaenda TFF akili empty (akakanyage Jangwani kumalizana akiondoka na ball analiacha haohapo akili kichwani)
 
Kiungo Feisal Salum 'Fei Toto' alifika mbele ya Kamati ya Sheria na Hadhi za wachezaji leo Aprili 12, 2023 kujua hatma ya barua yake ya kuomba kuvunja mkataba na klabu ya Yanga,

Fei Toto aliongozana na wakili wake Fatma Karume ambaye baada ya kumaliza kusikilizwa leo amesema kuna vitu vya kisheria vinatakiwa kuwasilishwa Aprili 18 na 25 na Mei 4 ndipo rasmi shauri litasikilizwa tena.

"Tunasubiri Mei 4 tutasikilizwa," amezungumza Karume ambaye aliulizwa kuhusu uelekeo wa sakata hilo na kusema hana chochote cha kuzungumza.

Source mwananchi.
Fei naamini atakuwa funzo kwa vijana wengi tamaa Mbele mauti nyuma......yanga haiyumbi ni kufanikiwa tu ,yeye kiwango kinashuka tu
 
Ukiwa umesoma sheria vizuri na ukaielewa utajiona ww mkosaji SANA...... YANGA inasimamia msimamo wake asije kuibuka mchezaji mwingine mambo yakawa ndivyo sivyo
Mifano ya waliopitia njia ya Fei Toto na maamuzi yaliyowafikia iko hapa

 
Shule nayo ni jambo la msingi aisee inasaidia sana aliyoyapeleka TFF Yanga walitangaza Yeye anaenda TFF akili empty (akakanyage Jangwani kumalizana akiondoka na ball analiacha haohapo akili kichwani)
Kweli kabisa mkuu.
 
Back
Top Bottom