Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vya Taarifa ni kwamba , Ndugu Vunja Bei hakuwa mkweli kutangaza kwamba Jezi mpya za Simba zimeisha , alificha ili leo aziuze kwa Bei mbaya .
Inasemekana leo jezi hizo zinauzwa kwa Laki mbili kwa jezi moja tu , jambo hili limewakasirisha mno washabiki wa Simba , na sasa WANATAKA MKATABA WAKE UVUNJWE .
Inasemekana leo jezi hizo zinauzwa kwa Laki mbili kwa jezi moja tu , jambo hili limewakasirisha mno washabiki wa Simba , na sasa WANATAKA MKATABA WAKE UVUNJWE .