Kwa kusaidia,
Mzee Kalala ni kaka wa Asha "Rose" Migiro na Mwantumu Malale.
Tuendelee na topic.
Mkandara, nimeshikika ndugu yangu inawezekana hii ikawa ni posting pekee leo humu. JK alivyokuja huko kwenu aliunganishwa kwa akina GIRE na Balozi (unamjua), kama unavyomjua JK ni mshkaji na anachukulia watu hivyo. Jamaa wa Richmond baada ya kukutana naye na kuelezea uwezo wao, JK akaonyesha dalili za kuwakubali. Jamaa wa ka tenda. Wakaweka website hewani haraka haraka. Tenda wakapewa.
Inawezekana ni uongo kuwa JK hakuhusika, ila jiulize swali moja kwanini Msabaha ana survive?, na kwanini dakika za mwisho akiulizwa alikuwa anasema wazi JAMANI MI SIHUSIKI. Procedures are always there, a well structured deal should always pass through those bureaucratic procedures!, watu wana akili Bob!
Basi nitachangia tena kesho
FD