bw mafuchila ,,shamba la babu linaliwa..naamini watu wanaochangia huku hawana sababu ya kutoa tuhuma baseless ,hatuna muda huo,wenye interest na kulipua mabomu ni wale wa jukwaani,,.,tuna uchungu mkubwa na nchi yetu na hatuwezi kuamua ,hili ndio jukwaa letu ,,,sehemu wanapoulizana ushahidi ni dodoma na kama mtu hana anafukuzwa barazani..
hii mambo ya kutaka ushahidi wa kisheria ndio imefikisha nchi yetu hapa ,,hutakaa upate data za kumtia mtu hatiani tanzania,,labda marekani ambapo hata rais ameshawahi ku resign kashfa ya watergate...
hali halisi ndio hiyo hizo cicumstance zilizopelekea kampuni ya printing kupewa tenda ya nishati zinaashiria nini,..
tusiwe kama tomaso hakutaka kuamini hadi ashike tundu za misumari!! sisi kama wazalendo tuanzie kwenye hizi tuhuma na tuzifanyie kazi siriaz,,
hatuko hapa kumuonea mtu .,.we are here to debate fairly on the future of our offsprings!!! watakuta nini,,au watakua manamba at the expense ya wachache ,,,tatizo la corruption zetu ni cheap,,
nyrere alisema rushwa ya asia inaliwa,kazi inafanyika below standard,ulaya wanakula na kazi inafanyika vilivyo,,kwetu tunakula rushwa na kazi haifanyiki ,,kwa maana nyingine tunakula hadi MTAJI