Sakata la KEMSA nchini Kenya

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Sakata la Ufisadi wa Kemsa nchini Kenya limesababisha wazungu kuacha kutoa Pesa za Malaria, Ukimwi na afya kwa ujumla!

Sasa hivi wagonjwa na waathirika wanahangaika na Viongozi nao wanahangaika kurudisha Imani kwa Mabeberu ili waendelee kupatiwa misaada!

Ubinafsi umepitiliza Afrika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…