M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,027
Leo katika uchambuzi wake wa hotuba ya bajeti ya serekali iliyowasilishwa juzi bungeni, Mh Zitto Kabwe ameibua maswali vigongo ambayo yanahitaji majawabu ya uhakika kutoka serekalini.
Zitto amesema mahesabu yanakataa.
Hata mimi naafikiana naye.... mahesabu yanagoma kabisa!
Pitia presentation slides zake hizi hapa chini....
Zitto amesema mahesabu yanakataa.
Hata mimi naafikiana naye.... mahesabu yanagoma kabisa!
Pitia presentation slides zake hizi hapa chini....