Sakata la Kuvurugwa Soko la Korosho: Zitto Kabwe aibua maswali mazito dhidi ya serikali.. Adai mahesabu yanagoma!

Sakata la Kuvurugwa Soko la Korosho: Zitto Kabwe aibua maswali mazito dhidi ya serikali.. Adai mahesabu yanagoma!

M-mbabe

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2009
Posts
13,203
Reaction score
23,027
Leo katika uchambuzi wake wa hotuba ya bajeti ya serekali iliyowasilishwa juzi bungeni, Mh Zitto Kabwe ameibua maswali vigongo ambayo yanahitaji majawabu ya uhakika kutoka serekalini.

Zitto amesema mahesabu yanakataa.
Hata mimi naafikiana naye.... mahesabu yanagoma kabisa!

Pitia presentation slides zake hizi hapa chini....

Screenshot_20200614-183059_YouTube.jpg
Screenshot_20200614-183439_YouTube.jpg
Screenshot_20200614-183603_YouTube.jpg
 
Back
Top Bottom