Sakata la Lulu na Kifo cha Kanumba, what does the Law say?

Kuua bila kukusudia maana yake ni nini? Naomba majibu waungwana.

Kuua bila kukusudia ni pale ambapo hukuwa na dhamira ya kuua. Kuna dhamira ovu, unapanga halafu unatekeleza. facts of the case ndizo zitakazoonyesha kuwa ulikuwa na dhamira ovu (malice) au la. Kwa case ya Lulu, walikuwa wanagombania kanumba asichukue simu kwa vile alihisi angeliweza kumpigia huyo mwanamume aliyekuwa anazungumza naye, katika purukushani mtu akaanguka, akapiga chini ubongo akafa. Sidhani kama hapa kulikuwa na nia ovu ya kumuua Kanumba ( kama yanayosemwa ni kweli). Ni maoni yangu tu!!!
 

Ahsante Mzee kwa kutukukmbusha hayo ya Bible
 
Mimi ni miongoni mwa waumini wakubwa wa the doctrine of "karma", kuwa there is nothing new under the sun, hakuna coincidence wala bahati mbaya, lolote ambalo limetokea, lilikuwa litokee tuu, .........

Rip Kanumba.

Pasco

Mbona kwa yaliyomtokea EL huandiki haya .Au hii doctrine yako ni ya Kifo tu.
 
Pasco umenena kibinadamu na kimungu. Jamani tusubiri ripoti ya madaktari.
RIP Kanumba
 
manslaughter ni nini?@ChuaKachara

mansauta ninavyokumbuka ni clips moja ilikuwa sana ktk sim ambayo ilikuwa ikionyesha mtu akiwa anachinjwa huku kiwiliwili kikiachana na kichwa ambapo partisipant walikuwa waarabu
 
Ikithibitika ni kifo bila kukusudia, Ni jela tu, hakunaga faini pekee. Ikithibitika kuwa alikufa kwa inshu nyingIne, say mshtuko nk, basi lulu ataachiwa. Kwa namna yoyote, lulu atateseka sana kimwili, kiroho, ki akili, na kisaikologia. Tumwombe sana Mungu aliangazie Taifa lipate uwezo wa kutoa elimu kwa vijana. Kuna jambo tusilolijua watsnzania. Tujue kuna Tatizo kubwa kitaifa.
 
lulu anamiaka 18
Ndugu yangu ugomvi wa nini mimi nimeshakuambia kuwa nipo pande za mkoa mpya wa Katavi na TV kwetu ni shida na last update ambayo nilisoma kwenye gazeti ambalo nilibahatika kulisoma walisema kuwa Lulu alikua under 18 ni juzi tu according to Majamba JR anasema kuwa J3 ktk Mkasi ambacho kama sikosei ni kipindi cha TV ndo amethibitisha kuwa binti huyo ametimiza sasa miaka 18. So mi sioni kama ni shida unless kama wewe ni ndugu yake Lulu au una agenda au ulikua unashare kwenye mawindo yake
 
mi sitii neno but RIP kanumba.Mungu akusameheme dhambi zako na akupokee ktk nuru ya uzima.
 
manslaughter

N.B:

Wakuu nadhani tunamfanyia huyu mtoto a dis-service, nina uhakika kwa sasa hakuna mtu mwenye hard time kama huyu mtoto (nina uhakika sio muuaji na kama kasababisha kifo hakukusudia...) kwangu mimi leo nasikitika kwa kifo cha Kanumba (RIP) na career ya huyu binti ambayo itakumbwa na misukosuko sasa for one so you....

Who knows kama sio haya matatizo mbeleni angekuaje (for one so young she has a long life ahead of her)

Tukumbuke tu, it takes two to tango.., na ugomvi ni wa wawili na hatujui ajali ilikuwaje.., instead of pointing the fingers lets just mourn in peace.
 
Mbona wanasema na Lulu kaumia? inaweza kua self defence pia.
Acheni kwanza speculations hadi marhem atakapo zikwa
na polisi kujua zaidi kuhusu mazingira yalosababisha kifo.
 
Its mean kwamba LULU ana Muder case n No Dhamana? N kuna tetesi its mom ni Muhaya so hawezi potezea hiyo kesi.???
 
Namsikitikia sana Lulu. Watu wanamhukumu bila ya kujua kilichotokea. Inawezekana ikawa ni self defense, sisi hatujui kwa sasa.

Tuacheni mamlaka husika vifanye kazi yake
 
ataachiwa hiyo siyo murder ni mansloughter( ACTUS REUS IMEFANYIKA BILA MENSREA)
 
Namsikitikia sana Lulu. Watu wanamhukumu bila ya kujua kilichotokea. Inawezekana ikawa ni self defense, sisi hatujui kwa sasa.

Tuacheni mamlaka husika vifanye kazi yake
Niliposikia na yeye kaumia tu, nikawa na wasiwasi itakua ni self defence
 
Correction-it means not its mean....Murder not muder
His\her mom not its....may be when ur talking about a dog and even a dog we normally use SHE not it

Simple....tumia kiswahili

hahah..lol..atlst nkenue though nnamachungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…