Akili yako inakutosha kuvaa na kuvua nguo tu unapiingiliwa na mumeo. Huna ubongo wa kuchakata mada kama hizi. Haya nenda ukavue usubiri shughuli ya usikuWewe huwa ni mpuuzi tu, kitu hujui nyamaza
Ina maana huamini zile ripoti? Na yale majadiliano ya kina Kabudi je ?1. Kama ripoti zilikuwa za kweli kwanini Tanzania haikuwashtaki Acacia ktk mahakama ya kimataifa ya migogoro ya uwekezaji?
2. Kama ripoti zilikuwa za kweli kwanini tumelipwa kiasi kidogo sana ukilinganisha na madai yetu ya usd 191 billion?
3. Kishika uchumba cha usd 300 million ni 0.16% ya madai yetu dhidi ya Acacia.
4. Serikali haikuchukua hatua zozote dhidi ya waliohusika kuiingiza nchi ktk mikataba mibovu. Hakuna hata mmoja aliyefunguliwa mashtaka.
5. Chama cha mapinduzi CCM kilimpitisha, Deo Mwanyika, aliyekuwa Makamu wa Raisi wa Acacia kuwa mgombea ubunge wa Njombe mjini.
6.Kama Acacia walituibia kiasi kikubwa namna ile inawezekanaje mmoja wa watendaji wake wakuu aaminiwe na Ccm kuwa mbunge?
Mkaulizane hayo maswali hule Lumumba.Asalaam Alyekum Ndugu zangu Watanzania!
Tumsifu Yesu Kristo ndugu zangu Watanzania!
Kwanza nitaanza kurejea mgogorowa IPTL na Serikali juu ya Escrow Account, nakumbuka vyema jinsi Serikali ya Rais Kikwete ikivyojitahidi kusimama upande wa IPTL na kusisitiza zaidi kuwa Serikali haikuwa na hela kwenye Escrow Account ila fedha zote ni za IPTL.
Mh Kafulila wakati uo akiwa mbunge alisimama kidete sana kutuonyesha Watanzania jinsi Serikali ilivyo bariki hela za umma kuliw huku watumishi wake wakuu wakigawana kwenye viroba, Rais Kikwete, AG Welema alifikia mpaka kumuita Kafulila Tumbili kote ni kupigania zile hela walizokula ambazo ni Watanzania, Rais Kikwete alisimama kweupe kusema Serikali haikuwa na hela kwenye Escrow Account huku akipingwa na Bunge, CAG pamoja na TRA hawa wakisema Serikali ilikuwa na hela kwenye ile Account.
Niende kwenye issue ya Makinikia. Watanzania tumegawanyika katika issue ya Makinikia, kwasasa aliehakikisha kuwa tunapata chetu hatukuwa tayari kumsuport zaidi sasa tunawapigania Barrick Gold Mine! Sina hakika kama issue ni Amount iliyoibuliwa kwenye tume Prof Mruma au issue tunapinga kama tulikuwa hatuibiwi rasimali zetu?
Miaka ya nyuma Watanzania kila mmoja wao tulikuwa na tunaamini kuwa tunapigw sana kwenye migodi ya madini huku nchi yetu ikiachwa na mashimo mara baada ya wawekezaji na wachimbaji wa madini kuondoka, ila sasa mbona kama tumegeuka tena tumeanza kuwapigania tukio walalamikia? Bado najiuliza maswali ya Msingi
1. Hatukabaliani na Amount iliyoletwa na Prof. Mruma au hatukubaliani na ripoti yote ya Prof. Mruma kama tulikuwa tunaibiwa?
2. Kama Ripoti ya Prof. Mruma ilikuwa si yakweli ilikuwaje mpaka Barick Gold Mine waliamua kuindoa Acacia Mining waliokamkabidhi migodi yao?
3. Kama ripoti ya Prof. Mruma haikuwa ya kweli, Ilikuwaje mpaka mwenyekiti mtendaji wa Barrick Gold Corporation akaja Tanzania na akakubali kuingia kwenye mazungumzo na Serikali mpaka kuhafikiana kulipa fedha zaidi Billion 700 za Kitanzania na kukubali kuanza kulipa fedha zaidi ya Matriion ambazo iliripotiwa kuwa imeisababishia serikali hasara?
4. Swali la Luhaga Mpina aliulizwa kwa bahati mbaya au alipata fununu kuwa Kikao cha Rais Samia na Mark Bristow Rais na Mkurugenzi Mtendaji wa Barrick Gold Corporation tarehe July 8, 2021 walihafikiana kusitisha malipo ya fedha waliyokubaliana kwenye awamu iliyopita chini ya Hayati Magufuli?
5. Kikao cha Rais Samia na Rais, Mkurugenzi Mtendaji wa Barrick Gold Corporation kilihusu nini hasa kama sio issue ya mtifuano uliokaibuka katika Serikali iliyopita?
5. Kama Riport ya Prof Mruma ilikuwa ni ya uongo kwanini Barrick au Accacia hawakuigomea eidha na kuamua kuondoka na kuachana na Tanzania au kufungua shauri la madai kwa kuchafuliwa na Serikali ya Tanzania kwenye mahakama za kimataifa?
6. Wanzania huwa tunaangalia nani kaibua issue ndo tusimame nayo au tunaangalia issue kama ina maslahi kwa nchi yetu?
7. Watanzania tuna nini chakujifunza kama Taifa katika Issue ya Makinikia uku ikilifikiria kwa karibu issue ya Escrow Account?
pascal-mayalla
Johnny Sack jovas jonathan @
My gut feeling is Pombe Magufuli called up Deo Mwanyika and said ukinipa za ndani za ujambazi wa Barrick nakuachia na nakuingiza kwenye system.5. Chama cha mapinduzi CCM kilimpitisha, Deo Mwanyika, aliyekuwa Makamu wa Raisi wa Acacia kuwa mgombea ubunge wa Njombe mjini.
6.Kama Acacia walituibia kiasi kikubwa namna ile inawezekanaje mmoja wa watendaji wake wakuu aaminiwe na Ccm kuwa mbunge?
Kila nikitafakari hili jambo naona kama Magufuli alikula mchongo na Barick. Kwa nini Deo ambaye ni mtuhumiwa wetu aliyewekwa ndani muda wote huo, asamehewe kwa kuambiwa alipe fidia na mara akaenda kuwa mgombea ubunge wa ccm?5. Chama cha mapinduzi CCM kilimpitisha, Deo Mwanyika, aliyekuwa Makamu wa Raisi wa Acacia kuwa mgombea ubunge wa Njombe mjini.
Inawezekana piaMy gut feeling is Pombe Magufuli called up Deo Mwanyika and said ukinipa za ndani za ujambazi wa Barrick nakuachia na nakuingiza kwenye system.
Pombe Magufuli's operations were wildly informal and recklessly offhanded.
It is not inconceivable that Deo Mwanyika unofficially became a government informant.
government informantKila nikitafakari hilinjambo naona kama Magufuli alikula mchongo na Barick. Kwa nini Deo ambaye ni mtuhumiwa wetu aliyewekwa ndani muda wote huo, asamehewe kwa kuambiwa alipe fidia na mara akaenda kuwa mgombea ubunge wa ccm?
My gut feeling is Pombe Magufuli called up Deo Mwanyika and said ukinipa za ndani za ujambazi wa Barrick nakuachia na nakuingiza kwenye system.
Pombe Magufuli's operations were wildly informal and recklessly offhanded.
It is not inconceivable that Deo Mwanyika unofficially became a government informant.
Ina maana huamini zile ripoti? Na yale majadiliano ya kina Kabudi je ?
Kila nikitafakari hilinjambo naona kama Magufuli alikula mchongo na Barick. Kwa nini Deo ambaye ni mtuhumiwa wetu aliyewekwa ndani muda wote huo, asamehewe kwa kuambiwa alipe fidia na mara akaenda kuwa mgombea ubunge wa ccm?
Hiki ndicho kilikuwa kinatafutwa. Magu na Kabudi walikuwa walaghai tu. Makinikia bandarini hatimaye waliayaachia yaendelee na safari ya ughaibuni na kiwanda cha kuchenjua hayo makinikia hakijajengwa..Kwa maoni yangu ripoti zilikuwa na malengo ya KISIASA tu.
Ina maana huamini zile ripoti? Na yale majadiliano ya kina Kabudi je ?
Broo..Deo could have given him any garbage in order to be released from jail.
..also barrick and acacia were listed in stock exchanges so information about their finances and operations are publicly available.
..ushahidi au taarifa zinazopatikana kwa torture au blackmail sio za kuaminika, wataalamu wa uchunguzi wanasema.
government informant
nataka kumpa Pombe Magufuli benefit of the doubt. I can't help but give it to him.
Yue mzee alikuja Tarime akasema nimekataa kuja na helikopta kutokea Butima ili nijionee mavumbi na makorogesheni ambamo nyinyi mnapitiaga.
Nimekuja kuwauliza, kuna faili moja limekuja ofisini kwangu kuna tajiri huku anaomba ekari za kufa mtu ajenge mradi wake. Nimpe ? Anachukua ardhi ya nani ? Mna hakika ????? Halafu akataja shady businessmen wa mkoa wa Mara ambao wako kwenye mradi huo na nusu yao ni marafiki zake wa kuzikana lakini ni questionable characters, hawaaminiki.
Aiseeeee..... Uzalendo uliotukuka.
Kuna kiongozi gani aliyewahi kuweka pending faili la tajiri ambae ni rafiki yake wa cha ndimu, kwenda kuwauliza masikini wachafu eti alishughulike vipi li mchongo hilo badala ya kumalizana nae kwenye simu ????... Never ever across the vast land and history of Africa.
Uko sahihi kabisa, kuna nyuzi kadhaa za wakati ule wa lile sakata nilihoji, kuwa kwanini Lisu apigwe risasi kuwa ni msaliti, wakati kuna watu walitajwa kabisa kwa majina kuwa waliliingiza taifa kwenye mikataba mibaya, na ripoti ilitaka wakamatwe kama Andrew Chenge, Daniel Yona, Karamagi nk, lakini hawakukamatwa, wala kuchukuliwa hatua yoyote, bali Magufuli akabaki kucheza na siasa za CCM na CDM kwenye suala lile!..Kwanini usd 300 badala ya usd 191 billion?Je, kuna hongo imetembea? Au ripoti zilikuwa na hitilafu?
..Kwanini waliotajwa kuiingiza serikali hasara hawakuchukuliwa hatua? Kwanini hawakuandamwa kuwa ndio wasaliti wa taifa letu?
..Kwanini muandamizi wa Acacia, Deo Mwanyika, ateuliwe kugombea ubunge wa Ccm? Kweli tuna uchungu na mwenendo wa Acacia nchini kwetu?
..Na kwanini tumekwenda kupiga marisasi kwa nia ya kuua mkosoaji wa ripoti za serikali. Hivi mkosoaji wa ripoti anastahili kuuwawa, na muandamizi wa Acacia anastahili ubunge wa Ccm?
..Kwa maoni yangu ripoti zilikuwa na malengo ya KISIASA tu.
Akili ndogo "kugawiwa" madaraka.Ndiyo shida ilipokuwa.Uko sahihi kabisa, kuna nyuzi kadhaa za wakati ule wa lile sakata nilihoji, kuwa kwanini Lisu apigwe risasi kuwa ni msaliti, wakati kuna watu walitajwa kabisa kwa majina kuwa waliliingiza taifa kwenye mikataba mibaya, na ripoti ilitaka wakamatwe kama Andrew Chenge, Daniel Yona, Karamagi nk, lakini hawakukamatwa, wala kuchukuliwa hatua yoyote, bali Magufuli akabaki kucheza na siasa za CCM na CDM kwenye suala lile!
Pale ndio nilijua Magufuli kuwa jambo lile alikichukulia kwenye siasa nyepesi za kupambana na CDM, ili ionekane ameiimarisha CCM dhidi ya CDM! Ndio maana aliona ufahari kumshambulia Lisu kwa risasi, huku akiwaacha waliotajwa kwenye ripoti kuwa ndio hasa wasaliti. Inshort Magufuli jambo lile alideal nalo kwa level ya ushindani wa CCM na CDM na sio kwa uzito wa jambo lenyewe. Ndio maana hakupata matokeo, au support aliyotaka.
Hiki ndicho kilikuwa kinatafutwa. Magu na Kabudi walikuwa walaghai tu. Makinikia bandarini hatimaye waliayaachia yaendelee na safari ya ughaibuni na kiwanda cha kuchenjua hayo makinikia hakijajengwa.
Leo hii ukiwauliza faida za hiyo Twiga iliyoanzishwa na tunayoambiwa tuna ubia nao utashangaa wataleta story za uongo na kulalamika bado wanaibiwa.