Sakata la Manara limewavua nguo TFF

Sakata la Manara limewavua nguo TFF

Mr. Sound

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
2,227
Reaction score
4,773
Salaam wakuu,

Sakata la manara limezua mjadala mkubwa sababu watu wengi wanaona hukumu ilotolewa haiendani na kosa, haiingii akilini kupishana kauli likawa kosa la kutolewa adhabu ile.

manara ashapewa adhabu huko nyuma bt watu hawakulalamika sababu adhabu zilikua fair sio kama hii ya sasa ilokaa kimchongo.

Tff, Jitafakarini kabla hamjaliharibu soka letu kwa maamuzi yalojaa chuki, yasoendana na uhalisia wa makosa.
 
Back
Top Bottom