Habari za juzi kutoka magazetini na blogs zasema msanii Mbasha kabaka nduguye. Inavyoelekea huyu jamaa anamuiga Uncle Lundenga kwa vioja vyake na anatumia uimbaji nyimbo za Injili kama danganya toto. A wise man told me one day kuwa hawa waimbaji wa nyimbo za Injili pamoja na manabii wao ni wasanii na ukifuatilia mienendo yao kiundani utashikwa na simanzi au haibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.