Sakata la Mbasha

mtzmweusi

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
8,658
Reaction score
8,994
Wadau hivi kike kizungumkuti cha mbasha na mkewe kimeishaje?mwenye info kamili atupie hapa
 
Habari za juzi kutoka magazetini na blogs zasema msanii Mbasha kabaka nduguye. Inavyoelekea huyu jamaa anamuiga Uncle Lundenga kwa vioja vyake na anatumia uimbaji nyimbo za Injili kama danganya toto. A wise man told me one day kuwa hawa waimbaji wa nyimbo za Injili pamoja na manabii wao ni wasanii na ukifuatilia mienendo yao kiundani utashikwa na simanzi au haibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…