BabuKijiko
Member
- May 3, 2024
- 24
- 38
Sakata la Vibali vya Sukari, Madai ya Mbunge Luhaga Mpina kuhusu Waziri Bashe Kulidanganya Bunge na Uamuzi wa Bunge Kumsimamisha Mpina Vikao 15
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli Mkuu.Raia wakiona kuna mtu anapambana kwa ajili ya ufisadi n lazima wawe upande wake hata kama hawajui kinachoendelea kama vile ilivyokuwa kwa JPM
Yaani badala ya kumwadhibu Bashe kwa kusema uongo, wanamwadhibu aliye sema kweli? Hii ina maana kuna mkono wa mtu mkubwa kwenye huo ufisadiSakata la Vibali vya Sukari, Madai ya Mbunge Luhaga Mpina kuhusu Waziri Bashe Kulidanganya Bunge na Uamuzi wa Bunge Kumsimamisha Mpina Vikao 15
View attachment 3027384