Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
tutawapa 50 watoto wazuri kama haitoshi semeni tutawaongeza,mnataka hii 50 tuwape lini?Mkuu, angalau hapa haki imeonekanabkutendeka tofauti na swala la Mbuyu, Yondani, Ramadhani sing'ano orodha inaendelea...halafu kumbuka ilikuwa imebaki siku nne mkataba uishe halafu tulikuwa tumemfungia ingawa kimkataba hata kama ilikuwa imebaki sekunde...
Rahisi sana kusema hivyo. Pesa sio zako hivyo rahisi sana kuzipangia budget. Kama unafikiri mhindi atalipa fidia bila hatua kuchukuliwa kwa mzembe aliyefanya ujinga huu unajidanganya.Hamsini tu. Mkude naye tutamsainisha kwa mfumo huo huo. Mkipiga sana kelele mtakuja kulipwa million 50 nyingine.
Wapiga dili wa mikia tayari wameishajua mgawo wao6katika hizo 50.
Huenda Rage alitumia zaidi kwa Mbuyu Twite wakati ule. Ndiyo viongozi wetu. Angalau kwa hili Simba wamepata pa kushikia baada ya kulizwa miaka mingi sanaCha mijinga huliwa na mjanja. Mlijitia wajuaji. Mngeandika barua tu ya kuomba kuidhinishiwa. Siku 5 za mkataba zimezaa milioni 50.Mhindi sidhani kama atakubali kulipa kirahisi.Lazima vichwa vita roll kwa ujinga huu.
moo moo mooo mooo,mmekua ng'ombe???Wengine hata pesa za vocha mgogoro bado wanashabikia ohh tutalipa. Anayelipa mhindi nyie wengine mnashobokea kulipiwa. Deni lilikuwa bilioni 11 siku mhindi akichoka jengo limekwenda na maji kwa mnada.
Mbuyu Twite pia Simba walirudishiwa millioni 30 na milioni 2 extra. Ngassa zilirudishwa na Yanga wakamkata kwenye mshahara.Huenda Rage alitumia zaidi kwa Mbuyu Twite wakati ule. Ndiyo viongozi wetu. Angalau kwa hili Simba wamepata pa kushikia baada ya kulizwa miaka mingi sana
Mkuu, basi wasubiri kudai nyingine kwa Mkude au AjibMbuyu Twite pia Simba walirudishiwa millioni 30 na milioni 2 extra. Ngassa zilirudishwa na Yanga wakamkata kwenye mshahara.
Yanga hadi hapo hawapo salama Kama jina walilipeleka CAF Tarehe 10.6.2016 hali mkataba wake ulikuwa unakoma 15.6 ni dhahiri walianza kumtumia akiwa ndani ya mkataba wa Simba.Usajiri wa Yanga vpl uko sawa kwani alikuwa amemaliza mkataba ndiyo maana kipengelebkilichowabana ni kupeleka jina cuf tarehe 10.6.2016 wakati mkataba wa Kessy na Simba ulikuwa unaisha tarehe 15.6.2016.
HaiusianiHivi takukuru wameishia wapi na Aveva?[emoji35]
Lakini unajua kipengele cha Mkataba wa Kessy na Simba kinataka alipe kiasi gani akivunja mkataba? Unajua kama hizo ndizo walizodai Simba kutoka kwa Yanga? Unajua Simba wakapunguza hizo hadi kiasi gani kwenye mazungumzo yaliyofuatia, ambazo Yanga walikataa kulipa? Unajua Simba watakushangaaje wakisikia unafurahia kiwango hicho ambacho ni cha chini mno kuliko thamani halisi ya Kessy? Kwa mnasaba huo, unajua nani aliyemshinda mwenzake kwenye kadhia hii?Cha mijinga huliwa na mjanja. Mlijitia wajuaji. Mngeandika barua tu ya kuomba kuidhinishiwa. Siku 5 za mkataba zimezaa milioni 50.Mhindi sidhani kama atakubali kulipa kirahisi.Lazima vichwa vita roll kwa ujinga huu.
Uzidai baada ya ligi.. Wakati roho zinawaumaYanga hadi hapo hawapo salama Kama jina walilipeleka CAF Tarehe 10.6.2016 hali mkataba wake ulikuwa unakoma 15.6 ni dhahiri walianza kumtumia akiwa ndani ya mkataba wa Simba.
Hapo sasa IPO hatar ya kunyang,anywa point zote alizocheza Kessy akiwa ndani ya kesi hii.
Yanga hapa wakae mkao wa kutoa hizo point kwa mujibu wa kifingu fulani cha Caf na Fifa ambacho Simba na timu zingine wakizihitaji hizi point basi wanitafute ili waibane Yanga kisheria wapewe point zao.
Simba bado wanaweza kuendelea na kumdai Kessy.Kwani mkataba unasema akivunja mkataba sio Yanga kama timu bali Kessy kama mchezaji. Aliyevunja masharti ya mkataba ni Kessy. Na habari za ndani ni kwamba Simba itaendelea kukomaa naye ili iwe fundisho kwa wachezaji wasioheshimu mikataba.Lakini unajua kipengele cha Mkataba wa Kessy na Simba kinataka alipe kiasi gani akivunja mkataba? Unajua kama hizo ndizo walizodai Simba kutoka kwa Yanga? Unajua Simba wakapunguza hizo hadi kiasi gani kwenye mazungumzo yaliyofuatia, ambazo Yanga walikataa kulipa? Unajua Simba watakushangaaje wakisikia unafurahia kiwango hicho ambacho ni cha chini mno kuliko thamani halisi ya Kessy? Kwa mnasaba huo, unajua nani aliyemshinda mwenzake kwenye kadhia hii?
Heeee ili mpate ubingwa subutuuuu....!!!SIMBA WAMESHAONEWA SANA NA KUNYANYASWA TENA KWA MIAKA MINGI. KWA HILI VIONGOZI WASIKUBALI HIYO FIDIA KABISA KWA SABABU HAILINGANI KABISA NA KOSA LILILOFANYIKA. NA ZAIDI WAKATE RUFAA CAF/FIFA KUPINGA HIYO ADHABU NDOGO IKIWEZEKANA YANGA WANYANGA'NYWE POINTI ZOTE KWA MECHI ALIZOCHEZA KESSY ILI LIWE FUNDISHO KWA BAADHI YA VIONGOZI WA TFF NA KLABU YANGA.