Sakata la mgomo wa wafanyabiashara; Je, mawaziri wa Fedha na Mipango wanatosha?

Sakata la mgomo wa wafanyabiashara; Je, mawaziri wa Fedha na Mipango wanatosha?

Mayor Quimby

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2021
Posts
4,950
Reaction score
10,977

View: https://m.youtube.com/watch?v=xEU5GWcrF_A

Msikilize huyu bwana ambae amejaribu kukuza mambo not knowing kwa mujibu wa sheria anayosema ni matatizo. Kutotunza nyaraka na kuwapa TRA deni, ambalo wakitaka kulihakiki sehemu nyingine duniani umejitafutia matatizo makubwa sana.


Kwa mujibu wa sheria husika unatakiwa kusoma section ifuatayo👇

IMG_7448.jpeg


Kwenye hiyo sheria kigezo cha ushahidi ni hii section 89 (inaelezea booking records) na hayo mambo utayakuta kwenye sheria zote za kodi duniani for auditing purposes.

IMG_7449.jpeg


Wafanya biashara wa Tanzania awatunzi hizo info na wakikaguliwa (mind you that’s only way you can determine tax credit or debt kwa serikali wanalalamika), halafu mwakilishi wao analalamika serikali inadai nyaraka bila ya yeye kufahamu sheria inasemaje.


View: https://m.youtube.com/watch?v=71_ha74BWv8

Worst msikilize huyo mwenyekiti eneo ambalo lina registered 40,000 VAT taxpayers ambao at mean calculations wanatakiwa kuipa serikali monthly tsh 120 billion, kwa sasa mchango wao ni tsh 14 billion.

If you are a TRA au waziri wa fedha ina maana Kariakoo unapoteza tsh 106 billion kwa mwezi.

Sasa kama nchi inapoteza zaidi ya trillion moja kariakoo nchi nzima inapiteza kiasi gani.

Food for thought, hiyo nchi inaendeshwa kwa mzaha.
 
Watoshe wasitoshe Raisi mwenyewe Chura Kiziwi unategemea nn?
 
wanataka wafanyebiashara bila kulipa kodi stahiki kwasababu ya Uzembe, kutokuwa makini na ujanja ujanja wao?
 
wanataka wafanyebiashara bila kulipa kodi stahiki kwasababu ya Uzembe, kutokuwa makini na ujanja ujanja wao?
Unadhani huyo waziri wa fedha, waziri wa mipango na JF contributors wanaona thamani ya muda niliotumia kujaribu kuonyesha udhaifu wa hoja za huyo jamaa.

Hatuko tulipo kwenye umaskini kwa bahati mbaya.

Hapo nimetumia nguvu kweli ya hoja za kikodi kuonyesha malalamiko ye jamaa ni upuuzi mtupu: mwisho wa siku post yangu ndio inaonekana upuuzi. .

What can you do, that’s life
 
Back
Top Bottom