Sakata la Morrison: Mtizamo wangu

Truth Matters

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2013
Posts
2,302
Reaction score
4,603
Wakuu salaam,

Naomba kutumia haki yangu ya kikatiba kutoa mtizamo wangu juu ya hili swala Morrison linaloendelea kuleta sintofahamu nchini. Nikiri kuwa sina taarifa zote za ndani badala yake nafanya inference kulingana na facts on air!
  1. Yanga wana/walikuwa na mkataba au makubaliano flani na Morrison kuongeza mkataba wa miaka 2
  2. Morrison alibadili mawazo baadaye baada ya kurubuniwa na forces za ndani au nje, akaamua ku-exploit weakness za mkataba wake
  3. Simba Inawezekana hawajamsajili rasmi Morrison badala yake wanataka kunufaika ni vitu viwili. Kusabibisha mgogoro kwa watani wao ili kuendeleza utawala wao. Pili ku-influence matokeo ya case ili BM akishinda ama wamsajili au wamuache asepe wao wakinufaika na mgogoro wa Yanga na mashiko wake
  4. Inawezekana Yanga wameuelewa mchezo mzima ndio maana wakahamisha mgogoro kwa Simba, tayari viongozi wawili wameshatoka. Wakifeli issue ya Morrison na wakaanza vibaya ligi, Mo atalazimishwa kujitoa.
  5. Yanga hawana mahitaji ya uwanjani na Morrison ndio maana wanaendelea na mipango yao ya usajili ..

Nawasilisha!
 
Point zako zote ni mavi ila ya 4 ndio mavi ya uharo kabisa
 
Kwanza kabisa mimi ni mshabiki wa Simba nakiri hili lakini hapa sitachambua kama mshabiki wa Simba bali Kama mshabiki wa Soka.Kwa Hili sakata linaloendelea naona kabisa BM hatachomoka kwenye Hili sakata ukiangalia kwa makini utaona hili.

BM Amejitia kitanzi mwenyewe

Wakati BM alikuwa akihojiwa kwa njia ya simu na Wasafi FM kupitia kipindi Cha sports Arena hapo ikiwa hajaingia mgogoro na Yanga alikiri kabisa amesaini mkataba na Yanga na akasema kabla ya kusaini Yanga alikuwa anatakiwa na team 3 za South Africa ikiwemo team ya Ajax Capetown. Huu Ni mkataba ule wa miezi 6 baada ya Yanga kuridhika na huduma Yake wakataka kumuongezea mkataba ndipo BM akasaini kwa miaka miwili baada ya kusaini BM akaongezea akasema baada ya yeye kusaini akawa anapewa maneno kwamba team ya Yanga hailipi mishahara wachezaji wake kwa wakati,haiendeshwi kiprofessionalism ndipo akaona Bora awaombe kuvunja mkataba nao huku Kuna baadhi ya offer akawa amepokea ikiwemo ya Simba.

Ukiachana na hapo tukaona email ya BM mtandaoni akiomba Yanga kucancel extension ya mkataba.kwenye Hili unajiuliza Kama ajasaini mkataba na Yanga inakuaje kwenye email yake anaomba acancel extension ya mkataba wake?

So ukitazama kwa ujumla wake bila ushabiki unaona kabisa jamaa anajifunga mwenyewe kwa Hali kama hii unaanzaje kumuamini BM?

Kwa upande wa Simba
Uongozi wangu wa Simba ulifanya kosa kubwa Sana kumtambulisha kumsajili Morrison mapema wangesubiri kwanza kesi ya Yanga na BM iishe Kama walivyoshauriwa na "Senzo" lakini kwa akili ya uswahili wa viongozi wakaenda against. Kwa maana hii Kama Yanga itashinda lazima watafungua kesi dhidi ya Simba kumsajili mchezaji wao mwenye "mkataba".

C&P from innocent dependent
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…