Luqman mohamedy
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 899
- 1,231
Habari wana Jf,
Ukitizama sakata la mgogoro wa usajili wa mchezaji Bernard Morrison na sakata la mkurugenzi wa simba kuhamia yanga utagundua hio sio vita ndogo.
Vita hii ni ya kusimamisha brand mbili kubwa ambazo ni GSM na MELT.
Usichokuwa unakifahamu hapa hawa hawapiganiii uwezo wa mtu,bali uwezo wa brand na kutengeneza picha nzuri kwa wananchi.
Atakayeshindwa hapa basi na brand yake imeshindwa.
Ukitizama sakata la mgogoro wa usajili wa mchezaji Bernard Morrison na sakata la mkurugenzi wa simba kuhamia yanga utagundua hio sio vita ndogo.
Vita hii ni ya kusimamisha brand mbili kubwa ambazo ni GSM na MELT.
Usichokuwa unakifahamu hapa hawa hawapiganiii uwezo wa mtu,bali uwezo wa brand na kutengeneza picha nzuri kwa wananchi.
Atakayeshindwa hapa basi na brand yake imeshindwa.