sakata la msanii matonya kutekwa na kufanyiwa kitu mbaya na watoto wa mjini chanzo kikiwa deni

sakata la msanii matonya kutekwa na kufanyiwa kitu mbaya na watoto wa mjini chanzo kikiwa deni

Mwanamuziki nyota wa muziki wa kizazi kipya usiku wa kuamkia Jumatatu alionja joto ya kiwe baada ya kutekwa na kusurubiwa kisha kunyang'anywa kila kitu pamoja na gari yake.
matonya.jpeg



Mwanamuziki huyo akiwa kwenye viunga vya Club ya usiku ya Kibo iliyopo Tegeta Jijini Dar pamoja masisita du wakila bata ghafra kundi la watu watano lilimvamia na kumkamta msobe msobe hadi nje ya ukumbi pamoja na kumrukisha kichurachura huku wakina dada waliokuwa wamendamana nao wakilia kwa uchungu kwa kumuonea huruma.

Habari zaidi toka kwa chanzo chetu kilichoshuhudia timbwiri hilo kilisema kuwa chanzo cha tukio hilo ni kudaiwa kwa Matonya na mtoto wa mjini aliyefahamika kwa jina la Evance" Huyu Evance ni mtoto wa mjini na huwa anawakopesha pesa wanamuziki mbalimbali pamoja na wasanii wa bongo movie hivyo miezi ya hivi karibuni alimkopesha shilingi laki nne msanii huyo kwa madai kuwa hakuwa na pesa ya kula bata wikiendi ambapo baada ya kumkopesha msanii alianza kuzungusha kurudisha hali iliyomfanya Evance kuchukua hatua za kumfanyia unyambilisi huo" Kilisema chanzo chetu

Hata hivyo baada ya kumkamata msanii huyo Evance alimpelekwa Oysterbay ambapo aliiacha gari na simu kwa makubaliano atakapoleta pesa hiyo atapewa gari yak
hata mimi moyo ulienda mbaaali nikajua mchezo wangu duh
 
Huyu dogo ana historia ya kutokua mwaminifu na dhulma ana ujanja wa kizamani,hii inaweza kuwa incident kama ya tano naiskia ya kurusha hela za watu

1.lady jaydee hela ya show ya joto hasira
2.kuna dogo ana print fulana alimpa fulana za kushoot video hakulipa
3.Songea alikamatwa stand anataka kukimbia bila kufanya show baada ya kupewa hela
4.Aliwadhulumu wale ma dancer washind wa dance mia mia waliofanya naye video ya "shika kamata chinja kabisa"
 
Bora angetumia na kampani ya kiume wangemsaidia kulipa hata kwa kumchangia.sasa yeye anakusanya mademu!! sasa wamelia kilio cha shibe wakati wameshatafuna pesa na msaada hawajampa.

wajinga ndo wanaoliwa
 
Back
Top Bottom