Sakata la Mtoto wa Rose Nungu (MunaLove), Linaumiza Sana Moyo

Not to that extent. Usijitie 'umama' kiasi cha kulia machozi kwenye send off ya dadaako...utawaacha walimwengu midomo wazi kwa huo unaouita ukamilifu.

Somewhere kwenye hii riwaya yako umeandika 'machozi, jasho na damu vinachuruzika'. Kama nikikuuliza nani kati ya wahusika wa jambo lenyewe hili anatoka jasho, achilia mbali damu, sijui kama utamtaja. Ni harakati za kutafuta umaarufu za hao wahusika, ambazo ni sehemu ya kawaida ya maisha yao...wewe unaumia kwa uhusika upi kama sio kujitoa machozi ya hisia kwa msaada ya vitunguu?
 
Vyeti vya ndoa ndiyo vithibitisho vya kisheria kuwa mtoto ni wa huyo Peter?

Iko wazi mama ndiyo anamjua baba wa mtoto.
 
Aisee kwa sisi wachaga hatuwezi kukubali mtoto wetu akazikwe na mama. Huyu muna ni tapeli wa mapenzi na pesa, mtoto ni mali ya baba. Na tutahakikisha tunampeleka moshi tukampumzishe mtoto wetu
Unabishana na mwanamke anayekumbia kuwa mtoto sio wako??
 
Peter ni mlezi wa wana.

Casto ni baba wa mwana ila apeche alolo.
 
Nimesema sheria nikimaanisha Statutory Acts; sio principles;
sheria ni nini? abda tuanzie hapa kwanza, maana unaweza kuwa unarukaruka tu kama maharagwe yanayotaka kuiva bila kujua chochote
 
Ni kwanini sasa kama baba Patrick ndiyo ametoa gharama zote tangu mtoto amekuja duniani mpaka kuumwa leo muna anasema mtoto wa casto aiseeehhh ni ngumu kuwaelewa wanawake
 
Hata sielewi unachokipigania ni nini Mkuu, ok lets conclude kwamba wote wanaotokwa machozi, wanaopatwa na huzuni na kuonesha hisia za namna hiyo ni wanawake, na wasioonesha hisia hizo, yaani yule ambaye hata akifiwa halii au akiumia haoneshi kama ameumia ndiyo mwanaume, hapo vipi. You can't supress inner feelings coz zipo hata kabla ya mind, dont yo ask yourself kwa nini watoto wachanga kabisa wanalia, wanacheka, wanashtuka au wanatabasamu?
 
Kama baba Patrick akifuatilia haki yake mahakamani atashinda na ataipata haki yake, maana ana vielelezo vyokutosha, kinacho nichosha mimi mvurugano tu na kuwapa watu faida juu ya mzozo huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…