Sakata la Nabii Geor Davie, JamiiForums yatajwa

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] tasnia imekuwa ya hovyo sana. Kuna siku mtu ataitisha press chooni na wataenda. Na hili ni tatizo ya kuwa na hivi vi online TV vingi
Hahaha!
 
Eti zama hizi kuna Manabii dah ! inasikitisha mno..
 
mbona wanawake wengi watakuja wakiwa wamejichorea adi sehemu kunako kwenyewee

kuna wafuasi wa dhehebu fulani huvaa chpi na bra zenye majina na nembe ya mtume wanayemwamini
Kinembe tena mkuu lovebird?
 
Kama kuna mtu anaweza kumsikiliza mashimo akili yake ina walakini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…