Sakata la Nishati ya Mafuta Nchini: Makamba kakwepushwa na lawama makusudi

Sakata la Nishati ya Mafuta Nchini: Makamba kakwepushwa na lawama makusudi

KAteme

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2022
Posts
483
Reaction score
907
Siku chache zilizopita, kulifanyika mabadiriko ya Mawaziri...pale Nishati walihamishwa wote...je ilikua njia ya kuwaepusha na matope au ni coincidence?
 
Hii inataabishwa na na wanasiasa! Siku wananchi wakika kuamua kuwafurusha wahuni wote inchi itapumua kila sector
 
Hebu acheni utoto nyie watu

Huyo Makamba alianza kulaumiwa wiki ya kwanza tu alipoingia ofisini kwann kipindi kile hamkumlaumu waziri aliyetoka?
 
Hebu acheni utoto nyie watu

Huyo Makamba alianza kulaumiwa wiki ya kwanza tu alipoingia ofisini kwann kipindi kile hamkumlaumu waziri aliyetoka?
Kalemani alipokuwa pale mgao wa umeme ulipungua sana na kadhia ya kukosa mafuta haikuwepo enzi ya Jiwe!! Magufuli alikuwa havumilii ujinga huu hata mara moja!!
Ingekuwa mama Abdul mchapa kazi , badala ya kujifungia KIZIMKAZI anajipaka ina angekuwa anatembelea maghala ya mafuta kuhakiki kama kweli hayapo au yamefichwa!!
URAIS ni mzigo mzito sana kwa huyu bibi ; nyie ccm tafadhalini msaidieni kuutua msimuonee haya kwa manufaa ya nchi .
 
Kalemani alipokuwa pale mgao wa umeme ulipungua sana na kadhia ya kukosa mafuta haikuwepo enzi ya Jiwe!! Magufuli alikuwa havumilii ujinga huu hata mara moja!!
Ingekuwa mama Abdul mchapa kazi , badala ya kujifungia KIZIMKAZI anajipaka ina angekuwa anatembelea maghala ya mafuta kuhakiki kama kweli hayapo au yamefichwa!!
URAIS ni mzigo mzito sana kwa huyu bibi ; nyie ccm tafadhalini msaidieni kuutua msimuonee haya kwa manufaa ya nchi .
Huko kizimkazi kaenda mara ngapi
 
Huko kizimkazi kaenda mara ngapi

Unajua kitu kinachoendelea huko Kizimkazi? Unajua ujenzi unaoendelea huko? Ndio maana Samia siku hizi akisafiri anafanya kificho! Huwezi kujua yuko wapi kwasababu ya kuficha ufisadi wake!
 
Hakuna waziri ataliweza hili sakata. Atakayejitia kichwa ngumu ataliwa kichwa. Chanzo cha haya yote ni ulegevu wa mamlaka ya juu kabisa pale.

Hata mwenyewe rais Samia amewahi kusema kuwa "kuchagua samaki tunaanzia kichwani. Ukikuta kichwa hakijaoza basi hata mkia utakuwa mzima. Kwann kichwa? Kwasabb ukikuta mkia umeoza basi ujue kichwa kimeoza siku nyingi".
 
Back
Top Bottom