Ohooo,ulikua hujui ndugu? Ndio hivyo mwaka huu hakuna miss tz.
aisee nifah hili sakata sikulifuatiliaga hadi mwisho, so wamefungiwa na serikali au miss world ndo wamewafungia?
btw hivi tunaenda lini Zimbabwe kukamilisha ratiba? sina ratiba ndg yangu
Ndio hivyo ndugu walifungiwa na serikali sio miss world.
Mwenzangu hata sijui ila itakua weekend hii kati ya j mosi au pili.
Itabidi tuwaulize akina mkolaj kwa uhakika zaidi.
Kama wikendi hii mbona majanga, kuna vifaa vyetu (Ngasa, Canavaro) viko kule Mwanza na stars kwa ajili ya mechi na Malawi
nilikuwa sijui, kumbe mwaka huu hakuna shindano!! Nani kawafungia mkuu?
Umejuaje?
Sijauliza kuhusu shindano la miss TZ.
Nimeuliza kuhusu uchunguzi kuhusu tuhuma za Sitti Mtemvu kuwa na nyaraka zinazokinzana.
Miss Tanzania ilipigwa ban kwa mwaka mmoja kutokana na hili Saga..
Hivi ule uchunguzi wa kama huyo binti alifanya udanganyifu kwenye nyaraka zake uliishia wapi? Ilitangazwa kuwa RITA ingefanya uchunguzi juu ya hizo tuhuma
Lakini baada ya hapo sikusikia tena kuhusu hilo jambo hususan baada ya huyo binti kuachia taji lake.Au ndo yaleyale mambo ya 'upepo' na ulishapita huo na watu (Watanzania) kama ilivyo ada yetu tushasahau kabisa.