Tetesi: Sakata la Ulaji NHIF limemwondoa Ummy?

Tetesi: Sakata la Ulaji NHIF limemwondoa Ummy?

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,207
Reaction score
13,839
IMG_20240815_214416.jpg

Tetesi mitaani ni kwamba Ummy alishindwa kabisa ku manage fungu la fedha ndani ya NHIF.

Agha Khan walimvimbia na kuikataa NHIF kwa vile hawalipii huduma inayotolewa kwa wateja/wagonjwa walio dhaminiwa na NHIF.

Sakata nyuma ya skandali nzima ni kwamba waziri alilishwa asali na NHIF wakati behind the scene wafanyakazi ndani ya NHIF "wamejikopesha" zaidi ya 200bn, fedha za michango ya wachangiaji wa NHIF.

Mbaya zaidi hospitali nyingi zinaidai NHIF zaidi ya 60bn.

Hospitali moja mashuhuri DSM, SANITAS imefunga hospitali kutokana na madeni ya NHIF.

Mbaya zaidi NSSF wamemshitaki mkurugenzi wa hospitali hiyo kutokana na kushindwa kulipia wafanyakazi wake michango.

Mawaziri wengi na vingunge wanatibiwa Agha Khan, sasa huduma imesitishwa.

Mama Samia kashtuka almost too late!

Sasa Ummy out!
 
Sometimes incompetence inatokana na fear. Hofu kwamba akitenda ipasavyo, ataliwa kichwa na hao wenye nguvu ya pesa.

Baadhi ya watu kuonekana kuwa na nguvu ya pesa kiasi cha kuimiliki serikali kiganjani hutokana na ukweli kwamba serikali yenyewe ndiyo inakubali kuingia kwenye mtego na mfumo wao.

As they say, Huwezi kuikomesha rushwa iwapo ndiyo imekuweka madarakani.

Wafanyabiashara wengi wanakuja kwa viongozi kama wahisani wenye nia njema, huku nyuma ya pazia wakiwa wamepanga njama za kujinufaisha na kuwatokomeza wahisaniwa wao.

Kinachosikitisha zaidi ni pale ambao inatokea kwamba wafanyabiashara ndio hiyohiyo serikali na serikali ndiyo haohao wafanyabiashara.

Kwa maneno mengine serikali yenyewe inachanganya kiutendaji hadi kufikia hatua ya kutojua namna ya kujidhibiti yenyewe.

I said it before, I'll say it again! Serikali isiyoweka kipaumbele kwa umma wa watu, hiyo serikali ni kikundi tu cha wafanyabiashara wanaolinda maslahi yao binafsi kwa kutumia mamlaka za umma.
 
Sometimes incompetence inatokana na fear. Hofu kwamba akitenda ipasavyo, ataliwa kichwa na hao wenye nguvu ya pesa.

Baadhi ya watu kuonekana kuwa na nguvu ya pesa kiasi cha kuimiliki serikali kiganjani hutokana na ukweli kwamba serikali yenyewe ndiyo inakubali kuingia kwenye mtego na mfumo wao.

As they say, Huwezi kuikomesha rushwa iwapo ndiyo imekuweka madarakani.

Wafanyabiashara wengi wanakuja kwa viongozi kama wahisani wenye nia njema, huku nyuma ya pazia wakiwa wamepanga njama za kujinufaisha na kuwatokomeza wahisaniwa wao.

Kinachosikitisha zaidi ni pale ambao inatokea kwamba wafanyabiashara ndio hiyohiyo serikali na serikali ndiyo haohao wafanyabiashara.

Kwa maneno mengine serikali yenyewe inachanganya kiutendaji hadi kufikia hatua ya kutojua namna ya kujidhibiti yenyewe.

I said it before, I'll say it again! Serikali isiyoweka kipaumbele kwa umma wa watu, hiyo serikali ni kikundi tu cha wafanyabiashara wanaolinda maslahi yao binafsi kwa kutumia mamlaka za umma.
Mkuu usijimisdirect.
Biashara ni biashara.
Na biashara inawekeza mtaji ili ipate faida, simple and clear.
Hakuna biashara itaweka mtaji kwa ahadi za uongo katika kulipia huduma.
Sasa unapopata huduma na unailipia kimagumashi unategemea nini.
Serikali should get its house in order.
 
Kwani Bodi ya NHIF ilikuwa wapi?
Tukubali tu Sisi Waafrika NGOZI NYEUSI hakuna jambo la tunaloliweza japo kwa 50%

Wa maskini wanachangia hiyo bima na wengine wanakatwa katika Mishahala yao.

Wanapoenda kutibiwa Hospitali zinawafukuza. Na hakuna pa kukimbilia.
Viongozi kimya.

Hii ndio Shit-Holes alivyo iongelea Donald Trump.

Kuna mbea mmoja aliniambia hiyo Bila badala ya kughalimia huduma za afya za wateja wameamu kukopesha pesa kwa taasisi na watu binafsi, siku mwamini ila kwa sisi mijitu myeusi lolote linafanyika.
 
Sakata nyuma ya skandali nzima ni kwamba waziri alilishwa asali na NHIF wakati behind the scene wafanyakazi ndani ya NHIF "wamejikopesha" zaidi ya 200bn, fedha za michango ya wachangiaji wa NHIF.

Mbaya zaidi hospitali nyingi zinaidai NHIF zaidi ya 60bn
Ni kijimama KICHAWI hiki. Kimeua na kutesa toka mimba ya mwezi mmoja mpaka mzee wa miaka 100.
Hata ubunge hafai, awekwe pembeni uchaguzi mkuu mwaka 2025. Jimbo liko wazi.
 

Tetesi mitaani ni kwamba Ummy alishindwa kabisa ku manage fungu la fedha ndani ya NHIF.

Agha Khan walimvimbia na kuikataa NHIF kwa vile hawalipii huduma inayotolewa kwa wateja/wagonjwa walio dhaminiwa na NHIF.

Sakata nyuma ya skandali nzima ni kwamba waziri alilishwa asali na NHIF wakati behind the scene wafanyakazi ndani ya NHIF "wamejikopesha" zaidi ya 200bn, fedha za michango ya wachangiaji wa NHIF.

Mbaya zaidi hospitali nyingi zinaidai NHIF zaidi ya 60bn.

Hospitali moja mashuhuri DSM, SANITAS imefunga hospitali kutokana na madeni ya NHIF.

Mbaya zaidi NSSF wamemshitaki mkurugenzi wa hospitali hiyo kutokana na kushindwa kulipia wafanyakazi wake michango.

Mawaziri wengi na vingunge wanatibiwa Agha Khan, sasa huduma imesitishwa.

Mama Samia kashtuka almost too late!

Sasa Ummy out!
Kama wasimamizi hawachukuliwi hatua wanaondolewa tu kwenye nafasi hakuna siku hii tengua pang tengua itakuja kuleta tija kwa taifa hili isipokuwa tunatengeneza kundi kubwa la watu ambao watakuja kulipwa maslahi makubwa kwa vyeo walivyovipata kwa muda mfupi plus kubaki na wizi walioufanya kipindi wanashikilia vyeo hivyo.
kama nikiwa waziri nikashiriki wizi ambao ndani ya mwaka nitakuwa na ukwasi ambao nisingeupata kwa miaka 20, halafu ukanitengua tu na ukwasi nikabaki nao, bila shaka atakayefuata atafanya vile vile.
 
Back
Top Bottom