Sakata la ushoga: Afande Sele awatuhumu watangazaji wa Clouds na Efm

iko hivi , kila mtanashati na msafi na hasa akiwa na hela huitwa shoga na vijana wachafu na masikini wa uswahilini .
HUYO AFANDE SELE NI MZOGA TU UNAOSUBIRI KUZIKWA.

HATA KAMA KWELI MAU ANGEKUWA ANALIWA, BADO HUYO RASTA CHAFU HANA WAJIBU WA KUMZUNGUMZIA PRIVACY YAKE.

AFANDE SELE ASUBIRI KUFA TU!
 
Kibonde ndie alioa wake wawili?hapo ni Kitenge ndie ameandamwa zaidi
 
Na wakiwa hao mashahidi ni wanawake basi lazima wawe wanne ndio ushahidi wao utapokelewa.
 
hivi dudu bovu yule sheheubwabwa wa dar aliemsomea MANGE alubadili huyu shehu nae mange amesema siriziki hebu mfatilie
 
Watanzaji wanao kwenda sana nje
Shafii Dauda
Maulid kitenge
Ephahim Kibonde
Oscar Osca
Maestro
Edoku Mwembe

Lakini hapo ni kama wana lengwa Maulid kitenge na Shafii Daudi
Duuh! Mkuu ndo umeamua kutaja bila kupepesa macho!!! kweli this is jf
 
Watanzaji wanao kwenda sana nje
Shafii Dauda
Maulid kitenge
Ephahim Kibonde
Oscar Osca
Maestro
Edoku Mwembe

Lakini hapo ni kama wana lengwa Maulid kitenge na Shafii Daudi
Hapo kitenge tu ndo mwenye wake 2 na anayeenda nje kuchambua mpira kwa kiswahili.Nchi ya vichaa hii
 
Watanzaji wanao kwenda sana nje
Shafii Dauda
Maulid kitenge
Ephahim Kibonde
Oscar Osca
Maestro
Edoku Mwembe

Lakini hapo ni kama wana lengwa Maulid kitenge na Shafii Daudi
Nilishawahi kusikia toka zamani sana kuwa WATU MAARUFU wengi huwa "WANALIWA" nje ya nchi........wakirudi ndio unawaona wanaendesha magari na kushinda kwenye CASINOS

Maisha yao yanakuwa tofauti kabisa na vipato vyao

lisemwalo lipo ila sijamuhukumu mtu
 


Simba dume limeunguruma, lakini kwanini redio hizo mbona redio zingine hawazisemi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…