Sakata la ushoga: Afande Sele awatuhumu watangazaji wa Clouds na Efm

nilisik
Watanzaji wanao kwenda sana nje
Shafii Dauda
Maulid kitenge
Ephahim Kibonde
Oscar Osca
Maestro
Edoku Mwembe

Lakini hapo ni kama wana lengwa Maulid kitenge na Shafii Daudi
nilisikia kweli mapunga Konki kawasahau
 
HUYO AFANDE SELE NI MZOGA TU UNAOSUBIRI KUZIKWA.

HATA KAMA KWELI MAU ANGEKUWA ANALIWA, BADO HUYO RASTA CHAFU HANA WAJIBU WA KUMZUNGUMZIA PRIVACY YAKE.

AFANDE SELE ASUBIRI KUFA TU!
teh teh wewe ndiyo hutakuja kufa????

Kwani kuna ubaya gani hao watu wakitatwa tukawafahamu kama wao hawataki kujitokeza
 
HUYO AFANDE SELE NI MZOGA TU UNAOSUBIRI KUZIKWA.

HATA KAMA KWELI MAU ANGEKUWA ANALIWA, BADO HUYO RASTA CHAFU HANA WAJIBU WA KUMZUNGUMZIA PRIVACY YAKE.

AFANDE SELE ASUBIRI KUFA TU!
teh teh wewe ndiyo hutakuja kufa????

Kwani kuna ubaya gani hao watu wakitatwa tukawafahamu kama wao hawataki kujitokeza
 
teh teh wewe ndiyo hutakuja kufa????

Kwani kuna ubaya gani hao watu wakitatwa tukawafahamu kama wao hawataki kujitokeza
AFANDE SELE NI MFU! ASUBIRI KUOZA KABURINI HUKU WENZAKE TUNAENDELEA KUGONGA MVINYO NA KULA NYAMA CHOMA.

MAISHA NI MUKIDII MUKIDEE!
 
Nilichogundua hapa
Kuna ma dokta wawili wamekiuka taratibu za kazi kwa kutoa suri za mgonjwa wa Ukimwi bwana A sele
 
Naunga mkono hoja clouds kumejaa mipunga mingi na michele kibao
 
Sipatii picha zile njemba zikitatuliwa linda
 
Kwakweli nashangaa kwanini hawaendi kuwafungulia case za madai?
Kesi ya nini na mmeachiwa ninyi Wanafiki mshangilie mfurahi na roho zenu Wenzenu wakitukanwa.

Mkuu wenu kafungua uwanja ili Watu wadhalilishwe kama hivi, na sasa wanapata Washangiliaji.
 
lete habari........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…