Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Habarini za jioni wana jf;kuna habari za kusikitsha hapa
lile sakata tulilokuwa tunalijadili kuhusu kutoelewana
kati ya mwenyekiti wa uwt..mama sopha simba na katibu wake limepata ufumbuzi.....kwa habari zaidi nunua nipashe kesho
kwa ufupi ni kwamba kuna mradi ulibuniwa na katibu wa uwt.
Wa kuku wa asili kutoka ubelgiji ulipofika mikononi mwa mwenyekiti wa uwt waziri wetu sophia simba akakataa kusaini toka mwezi february akitaka ten percent....baada ya kuona amekalia plan ya mradi huu inasemekana copy imepelekwa kwa mh rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania kwa msaada zaidi...hivi haya mambo ya ten per yataisha lini.......kwa zaidi soma nipashe.......,
lile sakata tulilokuwa tunalijadili kuhusu kutoelewana
kati ya mwenyekiti wa uwt..mama sopha simba na katibu wake limepata ufumbuzi.....kwa habari zaidi nunua nipashe kesho
kwa ufupi ni kwamba kuna mradi ulibuniwa na katibu wa uwt.
Wa kuku wa asili kutoka ubelgiji ulipofika mikononi mwa mwenyekiti wa uwt waziri wetu sophia simba akakataa kusaini toka mwezi february akitaka ten percent....baada ya kuona amekalia plan ya mradi huu inasemekana copy imepelekwa kwa mh rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania kwa msaada zaidi...hivi haya mambo ya ten per yataisha lini.......kwa zaidi soma nipashe.......,