Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Hili sakata kwa tuliowasikiliza viongozi wa mkoa ni wazi walikiri kuwa kulikuwa na uhaba wa madeski shuleni Sinde, viongozi hao walisema siku husika walikuwa wakigawa madeski japo haohao wanasema shule haikuwa na uhaba wa madeski! Hayo madeski walikuwa wakigawa ni ya ziada?
Viongozi wa mkoa wasitumie mamlaka zao kumsurubu aliyesema ukweli, ni wazi naada ya video kutoka walikusanya madeski na kuyapeleka hapo shuleni Sinde.
Soma zaidi:Mwalimu wa field aliyesambaza picha za watoto wamekaa chini kufukuzwa (uhaba wa madawati)
Viongozi wa mkoa wasitumie mamlaka zao kumsurubu aliyesema ukweli, ni wazi naada ya video kutoka walikusanya madeski na kuyapeleka hapo shuleni Sinde.
Soma zaidi:Mwalimu wa field aliyesambaza picha za watoto wamekaa chini kufukuzwa (uhaba wa madawati)