Sikujua mwanamke akinywa pombe ni ruhusa kumbaka. Mama yako yupo wapi nimleweshe leo sikukuu? usisahau dada zako nataka nipige mtungo leo... Shangazi zako wapo free wale walevi?Huyo mpopo tapeli tu
eti mbakaji alienda kuchukua condom!
kwanza huyu alikuwa kalewa eti "aliponishika matiti nikahisi naota"
ni nini kama sio pombe hizo?
Wanapajua vizur ndiyo watalii wetu wanao penda kuja kutalii Zanzibar wapo sahii Serikali yetu kupitia jeshi la polisi linaichafua nchi na wananchi tunaonekana watu makatili, huwezi kuona wa Cameroon, Ghana, Burundi, Congo, Mali wananchi wao wakikoment kwasababu hawaji kutembelea ZanzibarWanaijeria, Wakenya na Wasauz walivyoikomalia hii issue kana kwamba huko kwao ni salama.
Mtalii kutoka Nigeria, Sulurere, Lagos travelling alone [emoji39]To me naona kuna jambo hapa...uongo wake uko wapi? Umeona hizo evidence zake?
Hichi kipindi cha uzinduzi wa Royal tour ndio kipindi sahihi zaidi kwa huyo mnaigeria kulisemea, maana dunia itasikia na kulivalia njuga na huenda serikali ya Tz ikaamua kutoka usingizini ili kuchukua hatua dhidi ya wahusika.
Watanzania wote kwa pamoja tumuunge mkono huyo mnaigeria kulipigia kelele hili suala, uzalendo sio kufunika uovu. Wacha ukweli utuume lakini mwisho wa siku sote tupone.
Na wanatumia nguvu kweli kweli kupush hiyo agenda, hii issue tunaweza, kuichukulia simple ila ikaathiri utalii wa zanzbar kiasi
Huyo mpopo tapeli tu
eti mbakaji alienda kuchukua condom!
kwanza huyu alikuwa kalewa eti "aliponishika matiti nikahisi naota"
ni nini kama sio pombe hizo?
alafu kuna watz wamekaza misuli ya vichwa kumuamini huyo tapeli.. watu wengi wanapenda kuhukumu kwa kusikiliza story ya upande mmoja tu..Wapo kikundii ni matapeli
Yaani unavyotoa hukumu utafikiri una uhakika kuwa huyo binti alibakwa...Tulipaswa kuwashughulikia wenye hotel, wangemtoa mtuhumiwa wao, Kwa polisi, na kumtaka radhi huyo dada, hayo yote yasingetokea. Majuto ni mjukuu siku zote!
Warere beach ni pazuri Sana. Shame this happened!
Nani ambake!Yaani unavyotoa hukumu utafikiri una uhakika kuwa huyo binti alibakwa...
Statement ya wenye hotelini imetoa good details and how she demanded $10kAlileta mashtaka polisi mlifanya nini?
Dada yetu Posh Queen anawafahamu vizuri sanaStatement ya wenye hotelini imetoa good details and how she demanded $10k
Kwa tulioishi na hawa watu, haishangazi
Walishapoteza human values na wao wamejiweka kama any inverory
They’d do anything to dock a few points kutoka kwako
Unafanyaje elekeza twendeTwendeni google tukatai rate warere hotel ifike hata 4.5 Tena huko
Kwakweli labda mtu anayelala kama pono. Mimi nilale mtu anishike tu nashtuka sembuse matiti nifikiri ndotoHuyo mpopo tapeli tu
eti mbakaji alienda kuchukua condom!
kwanza huyu alikuwa kalewa eti "aliponishika matiti nikahisi naota"
ni nini kama sio pombe hizo?
Sijaelewa unamaanisha nini, lakini inabidi ufikirie uwezo wako kwenye kupambanua facts na drama.Kama huwaamini wanaigeria basi njoo umuamini mmiliki wa Weru weru Lodge wa kule Machame ambaye alilalamika na kutoa video clip zikimhusu mkuu wa wilaya ya Hai (Ole Sabaya) aliyetinga hotelini kwake akilazimisha akalale na Nandy.
Fungua akili yako. Tukio limetokea 21 april 2021 lakini muhusika amekuja kuripotia mitandaoni jana 16 apr 2022. Amekaa nazo hizo clips na picha mwaka mzima bila kuziexpoze popote pale kwa muda wote huo kwanini?? Hawa watu huwa sio watalii kama mnavyodhan, Ashaingiza pesa tayar huyo. Ametoka ningeria kalipia hotel six days na go and return air ticket akijua kabisa hii hela yake inaweza rudi ata ×100 times. Tayar kuna agencies zilishanunua huu mzigo na jana ndo ilikua siku maalum ya kuupost. weng wao wanakuja kwa kazi maalum na akipata