Hawa Wanaijeria ni mabingwa wa utapeli, ni vizuri kuchunguza hizi tuhuma zao vizuri.View attachment 2190348
View attachment 2190349
View attachment 2190350
View attachment 2190351 Hii ishu ichunguzwe tujue upande wa pili hawa watu wasije tuharibia, naona wengi wanachangia sijui waliporwa hela sijui vip na wakenya,wasouth wamekomalia nao hatari,,kwa matukio wanayofanya duniani hadi dunia inawaogopa hmm sijawahi waamini WaNigeria kwakweli[emoji1373]
uzuri ni kwamba unadhihirisha ujinga wako ulipo na ndio maana wanaija wanatuona mazuzu sababu ya ma kuku wa kisasa wachache kama wewe,
kama wamekutuma mjue this time tutawabaka kweli kweli.
Leta nyege tu. Sasa hapa nani kadhihirisha ana tabia za kishenzi za ubakaji? Unadhani ni sifa? Zuzu usiejielewa weweuzuri ni kwamba unadhihirisha ujinga wako ulipo na ndio maana wanaija wanatuona mazuzu sababu ya ma kuku wa kisasa wachache kama wewe,
kama wamekutuma mjue this time tutawabaka kweli kweli.
Wajifunze nidhamu nadhani hiyo warere itakuwa mfano kwa watu wengine kwenye hiyo sector.Ndugu zangu watanzania at least tupitie kwenye page ya hiyo hotel kule Google map Tuipatie review nzuri maana wataoathirika ni vijana wa kitanzania walioajiriwa pale
story yake ameiendeleza leo nenda kasome.Wenye hoteli wamaandika kuwa the victim demanded $10,000 as compensation for endangerment.
Attempted rape ni kosa LA jinai lakini hoja ni:
- huyu Dada amekaa one year ' kutanza' hiyo issue kwa kuajili ya kupata physiological support.
- kuna embassy or High Commission ya Nigeria, mbona hakutoa taarifa aliopona wenye hoteli au polisi n.k??
Umetoa judgement yako kutoka kwenye maelezo ya hotel.NImefuatilia mjadala twitter.
UYu dada looks like ni tapeli maana ni tukio la 2021 now that we are about to launch Royal Tour anajifanya kiherehere.
INfact mpaka mlinzi aliyehusika alihojiwa ikaonekana ni kama set up uyo dada apige mpungu wa dola 10,000
Cha msingi ni kuwa makini na watu toka taifa hili maana hotel ilitaka hii kesi iendelee dada akata wacahne nayo ndo ujue lengo lake mpigaji uyu.
ILa kwa askari
Tapeli tu huyoUmetoa judgement yako kutoka kwenye maelezo ya hotel.
Yule dada hakumaliza story yake jana.
Unaonaje ukienda kumalizia kipande kilichobaki?
Nadhani sasa watajifunza kuwa wabongo nasi sio mazuzu kiviile 😀😀Kwamba demu hajui kiswahili, ila alielewa jamaa alivyomwambia "anaenda kuchukua condom alafu atarudi" [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwenye police statement kaandika jamaa kamwambia atarudi kesho[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kale kademu ni useless kabisa
Wamekosa utetezi wa maana mpaka sasa.Nimekuelewa sana hapo👍
Kwani wazenji wenyewe wanasemaje kuhusu hili?
Umeweka wapi tukusaidie..?Hii ni website ipi? Mbona naweka screenshot nusu nusu
Ndugu zangu watanzania at least tupitie kwenye page ya hiyo hotel kule Google map Tuipatie review nzuri maana wataoathirika ni vijana wa kitanzania walioajiriwa pale
Polisi Zenji wamesha lielezea hili... yeye anataka hela kam ten m hivi wakati amdai yake ni kama ameibiwa dola 1500.Amin watu wanachukulia masiala wanaigeria wameiwekea spacies uko Twitter
Kuna upumbavu flani watanzania tunao...Huyu dada nikweli tukio liltoke ila haisemi ilikuaje yy na hao wanaume wawili.. kuna kitu kama mapenzi ndani yakeKatika pitapita zangu za leo nimekutana na tweet hii ya binti kutoka Nigeria,aliyekuja Tanzania kwenye matembezi na kusherekea sikukuu yake ya kuzaliwa .
Ameeleza namna ambavyo alikuwa amelala Warere beach hotel na usiku wa manane akashangaa kuna mwanaume kitandani anampapasa papasa na kutaka kumbaka.
Kwa namna alivyoandika habari hii naona kuna shida kubwa sana katika hiyo hotel..kuna shida namna polisi aliporipoti walivyolichukulia na kushughulikia jambo lake.
Lakini pia to me namuona kama binti ambaye ni very strong,kama asingekuwa na hizo evidence huenda angeambiwa kapika hili jambo.Pamoja na kwamba kalitoa wakati huu ambao tuna issue ya uzinduzi wa royal tour ni vyema serikali yetu ilifuatilia kwa karibu na kutoa majibu ya sakata hili.
Nimeangalia hiyo tweeter namna inakuwa retweeted na baadhi ya comments za watu kucancel Plans zao za kuja Tanzania baada ya hiyo habari...ni aibu kwa kweli..wahusika wawajibishwe na binti huyo arudishiwe fedha zake. Kama kuna hotel zingine wenye tabia kama hii zikomeshwe pia mara moja ili kuendelea kulinda na kukuza sekta yetu ya utalii.Raisi wetu anajitahidi sana lakini unakuta tuna watu wenye akili mgando kama hao wa hiyo hotel.Kama room ilifungwa,namna ya mtu mwingine kuingia ni kwa master key ambayo hotel inayo..ili jambo linakasirisha sanaa.
UPDATEShttps://www.jamiiforums.com/threads/warere-beach-resort-wamiliki-wajibu-kwa-barua-nzito-wanasema-yule-binti-alimpapatikia-mlinzi.1974708/
UPDATES
Tayari serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia commision ya utalii imetoa statement na kwamba uchunguzi umeanza mara moja
View attachment 2190393
Zanzibar haya mambo yapo sana tu kuna ma beach boys wengi wanawafanyia uhuni sana watalii hasa kutoka Ulaya, nakumbuka kuna siku miaka kama mi5 iliyopita nilikuwa hospital ya taifa mnazi mmoja akaja kibibi kina majeraha mwilini akidai kupigwa na kuporwa vitu vyake, alikuwa anaongea lugha ambayo hatukuelewana vizur ila baada ya kuona simweli akafungua mkoba wake akanionyesha picha tofauti za jamaa Rasta limelala kitandan liko uchi (inaonekana alikuwa akimtumia hizo picha kabla) na kunionyesha majeraha ndipo nilipogundua huyu anahitaji msaada wa kimatibabu na kisheria ndio nikampeleka dawati la polisi wanao deal na maswala ya unyanyasaji na wizi nikamwacha hapo.Katika pitapita zangu za leo nimekutana na tweet hii ya binti kutoka Nigeria,aliyekuja Tanzania kwenye matembezi na kusherekea sikukuu yake ya kuzaliwa .
Ameeleza namna ambavyo alikuwa amelala Warere beach hotel na usiku wa manane akashangaa kuna mwanaume kitandani anampapasa papasa na kutaka kumbaka.
Kwa namna alivyoandika habari hii naona kuna shida kubwa sana katika hiyo hotel..kuna shida namna polisi aliporipoti walivyolichukulia na kushughulikia jambo lake.
Lakini pia to me namuona kama binti ambaye ni very strong,kama asingekuwa na hizo evidence huenda angeambiwa kapika hili jambo.Pamoja na kwamba kalitoa wakati huu ambao tuna issue ya uzinduzi wa royal tour ni vyema serikali yetu ilifuatilia kwa karibu na kutoa majibu ya sakata hili.
Nimeangalia hiyo tweeter namna inakuwa retweeted na baadhi ya comments za watu kucancel Plans zao za kuja Tanzania baada ya hiyo habari...ni aibu kwa kweli..wahusika wawajibishwe na binti huyo arudishiwe fedha zake. Kama kuna hotel zingine wenye tabia kama hii zikomeshwe pia mara moja ili kuendelea kulinda na kukuza sekta yetu ya utalii.Raisi wetu anajitahidi sana lakini unakuta tuna watu wenye akili mgando kama hao wa hiyo hotel.Kama room ilifungwa,namna ya mtu mwingine kuingia ni kwa master key ambayo hotel inayo..ili jambo linakasirisha sanaa.
UPDATEShttps://www.jamiiforums.com/threads/warere-beach-resort-wamiliki-wajibu-kwa-barua-nzito-wanasema-yule-binti-alimpapatikia-mlinzi.1974708/
UPDATES
Tayari serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia commision ya utalii imetoa statement na kwamba uchunguzi umeanza mara moja
View attachment 2190393