Sakata la watuhumiwa wa Ugaidi kuwekwa selo miaka 10, Godbless Lema amuomba Jaji Mkuu aweke wazi gharama za kuendeshea kesi ili wadau wachangie

Walikamatwa kipindi cha Rais yupi? Maana wazuri hawafi kwa matendo yao mabaya
kama alivojinasibu mmoja wao
Ingekua walikamwatwa enzi za bwana yule mwingine uzi ungekua umejaa matusi huu na maneno ya kumlaani...
 
Hakuna ambae marekani ni kwake kuna watu wenye asili ya arabia na raia wa marekani walipigwa ndani kwa mtindo huohuo
Siyo sawa kumshikilia mtu kwa miaka 10 bila ya kuendelea na kesi yake kwa kisingizio kwamba hakuna bajeti ya kesi yake. Huo ni UKATILI na ROHO MBAYA ambayo hata Mwenyezi Mungu hapendi.
 
Siyo sawa kumshikilia mtu kwa miaka 10 bila ya kuendelea na kesi yake kwa kisingizio kwamba hakuna bajeti ya kesi yake. Huo ni UKATILI na ROHO MBAYA ambayo hata Mwenyezi Mungu hapendi.
Kila Ubaya utalipwa
 
Kweli, mahakama ingeweka wazi kwamba wako ndani Kwa kuhofia usalama wa nchi kuliko kisingizio Cha gharama za uendeshaji wa kesi.
 
Kweli, mahakama ingeweka wazi kwamba wako ndani Kwa kuhofia usalama wa nchi kuliko kisingizio Cha gharama za uendeshaji wa kesi.
Hata wao amini nakuambia hawajui kinachoendelea ni mwendo wa “abracadabra “
 
Anataka kupiga michago Tena kama alopiga ilo ya kuzunguka Dunia kuelezea mabaya ya Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Jaji Prof Ibrahim Juma, kiukweli kazi ya u CJ ni kubwa kuliko uwezo wake. Haya yalikuwa ndiyo mauteuzi ya Magufuli.

Huyu CJ ukimfuatilia siku zote ni mtu wa kulalamika kama mtuhumiwa tu. Miaka yote 6 kwenye kiti hicho hajafanya REFORM yoyote ya Mahakama
 
Mahakama ilishamjibu huyu mjaa laana kuwa pesa ipo aache kutafuta kiki

USSR
Unakumbuka aliyesema tatizo Ni fedha (bajeti) Ni nani?
Na una kumbu kumbu sahihi aliyekuja kusema bajeti ipo chini ya Nani na ipo?
Sasa tuamini jibu lipi la kwanza au la pili?
Na Nini unatumia kupima kuwa mtu huyu ana laana au vipi!

Lema sio mtumishi wa Mahakama Wala Jaji Mkuu Bali alinukuu maneno ya jaji Mkuu!

Je kunukuu maneno ya jaji Ni laana au kusema kwamba ikiwa Mahakama imeshindwa wasamaria wema wachangie Ni laana?

Hebu tusaidie
 
Huyo mama yenu samia si ni muislamu? Sasa naanza kumchukia huyu mama
 
Kwa hiyo Mahakama haina kazi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…