Sakina

KakaJambazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2009
Posts
18,804
Reaction score
12,227


Huyo kisura anatakiwa apondwe mawe huko Iran hadi kufa, baada ya mfungo wa Ramadhani.

Oooh!! God.:A S cry:😛ray2::amen:
 
Inasikitisha sana sheria zingine hazifai hata kidogo ..
 
Mambo ya imani nyingine bwana, me nashindwa kuelewa!
 
Jamani hizi sheria nyingine mbona zinakandamiza sana!!!???
 
There you GO:

 
Mambo ya imani nyingine bwana, me nashindwa kuelewa!
i stand to be corrected,hii cruelty ya baadhi ya jamii mi naona kama wanatumia dini kama visingizio tu lakini ukweli kuna jamii ambazo ziko predisposed kufanyiana ukatili wa ajabu with dini or no dini,nikimaanisha historically wako hivyo hata kabla ya advent ya uislam 1500 years ago. Sorry to say this lakini arabs kama arabs (NA WOTE WA MAENEO HAYO INCLUDING PERSIANS,AFGHANS ETC)na sio kama Moslems wananitia shaka sana na mentality yao kuhusu thamani ya life kama jamii,Mungu anisamehe lakini that is my feelings.
 
Jesus walimpelekea mwanamke kama hivi na akawaambia;NA ASIYEKUWA NA DHAMBI AMPIGE MAWE:Hakuna aliyebaki.
 
kwa hivyo unamanisha kwamba hata majaji wetu hawana haki ya kumfunga mtu kwa kuwa nawao wanakasoro nyingi tu kama za wanaowahukumu?

No Mahakama za Kadhi wala Sharia Tanzania.
 
Apigwe mawe kwa kosa gani?
Ametukana?
 
kwa hivyo unamanisha kwamba hata majaji wetu hawana haki ya kumfunga mtu kwa kuwa nawao wanakasoro nyingi tu kama za wanaowahukumu?

Give it a try....brake the law got to court and tell the judge that you are also a lwabreaker and see what happens...even without a barghashia :lol::lol:
 
uislam sio imani tu kama unavyotaka tuamini, uislam ni mfumo kamili wa maisha. Kuanzia sheria, uchumi ,siasa na mambo yote kama vile agano la kale la biblia linavyotaka kabla

Mkuu unajua ulichoandika maana yake? Ama wewe huna elimu dunia?
 
Instead of stoning to death, Sakineh is subjected to mental tortures plus 99 lashes!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…