Sala hii ni ya kuwaombea wanawake

Kwakeli hawa watu wanahitaji maombi ya hali na Mali
 
Hahahaaaa. Ndio hapo sasa. Watuvumilie tu kwa kweli kwa sababu mwanamke kupendeza muhimu na kupendeza mpaka ujithaminishe mara tatu tatu je nimenoga baada ya hapo ndio tunakuwa tayari kwa safari.

Sio tuwe rafu tuuu
Basi mi hua napendaga kumwambia ajiandae tunasafari, basi nitamwambia masaa matatu kabla,
Nikijua anakaribia kumaliza namwambia tumechelewa tuahilishe[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Utashangaa anakama kapu anaenda sokoni, hapo ndio utajua woman never give up[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji735] [emoji735] [emoji735]
 
Kuna kundi la wanawake wavaa Suruali (T-shert na Jeans)
Huwa hawanaga mambo mengi sana...!
 
Amen[emoji120] [emoji120]
 

Hahahaaa. Ndio uwanamke huo mkuu na hapo wenyewe tunaona sawa kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…