Elections 2010 Sala Kwa Taifa

Elections 2010 Sala Kwa Taifa

Masanilo

Platinum Member
Joined
Oct 2, 2007
Posts
22,286
Reaction score
4,523
Asante Mungu kwa kuipenda Tanzania hata ukamtuma mwanamapinduzi wa pekee Dr. W. Slaa ili kila Mtanzania atakayempigia kura apate kuleta ukombozi wa kweli.


Tazama umemtuma kwa wapenda haki ili patakatifu (ikulu) pawe na Amani,
Sasa basi Mungu wasaidie watanzania wenzetu wasio na ujuzi wa Kutambua nani kiongozi Bora wamtambue kuwa amekuwa akidai haki zao yapata miaka 15,
Mungu tuepushe na rushwa za vitenge, pombe, simu, na Ahadi za uongo maana wewe hupendi uongo.


Rev Masa K

 
Praise The Lord Oh My Soul
Nami nasema Amina...
Tuzidi kuomba na kufunga ili sala ya Rev Masa isikiwe huko alipopeleka maombezi haya
 
Asante Mungu kwa kuipenda Tanzania hata ukamtuma mwanamapinduzi wa pekee Dr. W. Slaa ili kila Mtanzania atakayempigia kura apate kuleta ukombozi wa kweli.


Tazama umemtuma kwa wapenda haki ili patakatifu (ikulu) pawe na Amani,
Sasa basi Mungu wasaidie watanzania wenzetu wasio na ujuzi wa Kutambua nani kiongozi Bora wamtambue kuwa amekuwa akidai haki zao yapata miaka 15,
Mungu tuepushe na rushwa za vitenge, pombe, simu, na Ahadi za uongo maana wewe hupendi uongo.


Eee Mola wetu! Uliyetukuka, wajalie waja wako watanzania kupata ufahamu sahihi na kutokufanywa wapumbavu kwa ahadi zisizo tekelezeka na kudanganywa kwa kupewa zawadi vinguo na fedha za rushwa na matokeo ni kuyagharimu maisha yao na ya watoto wao baada yao.

EeeMola, fungua fahamu zetu tuelewe na maneno aliyotuasa mja wako baba wa Taifa hili,JK Nyerere, ya kwamba "Mtu mwenye akili akikupa mawazo ya kipumbavu, usipoyakataa anakudharau" akarudia akisisitiza ya kwamba " mtu yeyote mwenye akili akikupa mawazo ya kipumbavu na wewe unayatii, akijua kwamba ni ya kipumbavu, unayakubali, anakudharau" Tuondolee huku kudharauliwa. Zaidi tunadharauliwa na watu wasio wazawa wa nchi hii uliyotuweka waja wako.

Mola mwenye enzi yote! Hatukuchagua kuzaliwa Tanzania bali ulitufanye tuzaliwe hapa. Hatukuchagua mama wala baba, ndivyo watoto na wajukuu zetu nao hawakuchagua wazaliwe na sisi. Umetuweka katika nchi yenye utajiri mkuu, tupe waja wako kufaidi matunda ya utajiri huu sisi na vizazi vyetu na si wageni wala wapitaji. Tukiishi kama ndugu na kupendana.

Tufanyizie ukombozi kwani wewe ni Mungu usiyeshindwa jambo.
 
Asante Mungu kwa kuipenda Tanzania hata ukamtuma mwanamapinduzi wa pekee Dr. W. Slaa ili kila Mtanzania atakayempigia kura apate kuleta ukombozi wa kweli.


Tazama umemtuma kwa wapenda haki ili patakatifu (ikulu) pawe na Amani,
Sasa basi Mungu wasaidie watanzania wenzetu wasio na ujuzi wa Kutambua nani kiongozi Bora wamtambue kuwa amekuwa akidai haki zao yapata miaka 15,
Mungu tuepushe na rushwa za vitenge, pombe, simu, na Ahadi za uongo maana wewe hupendi uongo.


Rev Masa K



Aleluyaaaah, aleluyaaaah.....@@#$%^&&***&@@@<<???&%%%$$#@@@............................@@##%$^^&&<<MDBHYJVVWGVHUbdbvdhdgdvduu!!@22222@@@......aleluyaaaaah aleluyaaaaah............%#@@,,,,,>>>>>>>>>>>>>>>> Amen!!

Msishangae wakuu zangu, nilikuwa nanena kwa lugha wakati wa sala, maana mchungaji Masa kaamsha kunena!!!
 
Mgombea urais wa chadema amepewa milioni 520 ili agombee urais kupitia chadema. Acha shilingi milioni 12 kila mwezi huyu ndio anasema mtetezi wa wanyonge bwana slaa
 
upupu na pumba hizi.....CHADEMA wangekuwa na milioni 500 za kumpa mtu mmoja...wasingekosa pesa za kugawa fulana bure......wasio na uchungu ni CCM...ambao wamekomba pesa za kampeni hadi kwa makampuni marehemu kama ATC...na kuzitumia kuweka mabango kila mahali kuliko coca cola...au vodacom.....yaani sijui kwa nini wametumia nguvu kubwa kuliko hata ya mwaka 2005 au 1995......MATANGAZO HADI KWENYE MAJI!!?
 
Padri
Member

Join Date
Thu Aug 2010

Hapo kwa Red noted!
 
Aleluyaaaah, aleluyaaaah.....@@#$%^&&***&@@@<<???&%%%$$#@@@............................@@##%$^^&&<<MDBHYJVVWGVHUbdbvdhdgdvduu!!@22222@@@......aleluyaaaaah aleluyaaaaah............%#@@,,,,,>>>>>>>>>>>>>>>> Amen!!

Msishangae wakuu zangu, nilikuwa nanena kwa lugha wakati wa sala, maana mchungaji Masa kaamsha kunena!!!
du umenena kwa lugha kweli kweli
 
Mgombea urais wa chadema amepewa milioni 520 ili agombee urais kupitia chadema. Acha shilingi milioni 12 kila mwezi huyu ndio anasema mtetezi wa wanyonge bwana slaa
amepewa mil 520 na nani,RA? hueleweki au mimi sielewi
 
Mgombea urais wa chadema amepewa milioni 520 ili agombee urais kupitia chadema. Acha shilingi milioni 12 kila mwezi huyu ndio anasema mtetezi wa wanyonge bwana slaa

Ukiulizwa na nani hutakuwa na jibu!
 
Rev Masa, mimi nilifikiri utaratibu wa kusali kwa ajili ya Taifa ni wa-kila siku. Kulikoni mbona kimya kwenye kutuongoza katika sala?
Ama unatushauri tuendelee kurudia-rudia hizo hizo? (Ila sala ya Nyunyu ngumu)
 
Asante Mungu kwa kuipenda Tanzania hata ukamtuma mwanamapinduzi wa pekee Dr. W. Slaa ili kila Mtanzania atakayempigia kura apate kuleta ukombozi wa kweli.


Tazama umemtuma kwa wapenda haki ili patakatifu (ikulu) pawe na Amani,
Sasa basi Mungu wasaidie watanzania wenzetu wasio na ujuzi wa Kutambua nani kiongozi Bora wamtambue kuwa amekuwa akidai haki zao yapata miaka 15,
Mungu tuepushe na rushwa za vitenge, pombe, simu, na Ahadi za uongo maana wewe hupendi uongo.


Rev Masa K

This message has been deleted by Selemani.
 



Laws of Justice and Mercy

1 "Do not spread false reports. Do not help a wicked man by being a malicious witness. 2 "Do not follow the crowd in doing wrong. When you give testimony in a lawsuit, do not pervert justice by siding with the crowd, 3 and do not show favoritism to a poor man in his lawsuit.
4 "If you come across your enemy's ox or donkey wandering off, be sure to take it back to him. 5 If you see the donkey of someone who hates you fallen down under its load, do not leave it there; be sure you help him with it.
6 "Do not deny justice to your poor people in their lawsuits. 7 Have nothing to do with a false charge and do not put an innocent or honest person to death, for I will not acquit the guilty.
8 "Do not accept a bribe, for a bribe blinds those who see and twists the words of the righteous.
9 "Do not oppress an alien; you yourselves know how it feels to be aliens, because you were aliens in Egypt.
Exodus 23

Source:Exodus 23 - Passage Lookup - New International Version - BibleGateway.com
 
Back
Top Bottom