Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,523
Asante Mungu kwa kuipenda Tanzania hata ukamtuma mwanamapinduzi wa pekee Dr. W. Slaa ili kila Mtanzania atakayempigia kura apate kuleta ukombozi wa kweli.
Tazama umemtuma kwa wapenda haki ili patakatifu (ikulu) pawe na Amani,
Sasa basi Mungu wasaidie watanzania wenzetu wasio na ujuzi wa Kutambua nani kiongozi Bora wamtambue kuwa amekuwa akidai haki zao yapata miaka 15,
Mungu tuepushe na rushwa za vitenge, pombe, simu, na Ahadi za uongo maana wewe hupendi uongo.
Rev Masa K
Tazama umemtuma kwa wapenda haki ili patakatifu (ikulu) pawe na Amani,
Sasa basi Mungu wasaidie watanzania wenzetu wasio na ujuzi wa Kutambua nani kiongozi Bora wamtambue kuwa amekuwa akidai haki zao yapata miaka 15,
Mungu tuepushe na rushwa za vitenge, pombe, simu, na Ahadi za uongo maana wewe hupendi uongo.
Rev Masa K