Nami nasema Amina...Praise The Lord Oh My Soul
Asante Mungu kwa kuipenda Tanzania hata ukamtuma mwanamapinduzi wa pekee Dr. W. Slaa ili kila Mtanzania atakayempigia kura apate kuleta ukombozi wa kweli.
Tazama umemtuma kwa wapenda haki ili patakatifu (ikulu) pawe na Amani,
Sasa basi Mungu wasaidie watanzania wenzetu wasio na ujuzi wa Kutambua nani kiongozi Bora wamtambue kuwa amekuwa akidai haki zao yapata miaka 15,
Mungu tuepushe na rushwa za vitenge, pombe, simu, na Ahadi za uongo maana wewe hupendi uongo.
Asante Mungu kwa kuipenda Tanzania hata ukamtuma mwanamapinduzi wa pekee Dr. W. Slaa ili kila Mtanzania atakayempigia kura apate kuleta ukombozi wa kweli.
Tazama umemtuma kwa wapenda haki ili patakatifu (ikulu) pawe na Amani,
Sasa basi Mungu wasaidie watanzania wenzetu wasio na ujuzi wa Kutambua nani kiongozi Bora wamtambue kuwa amekuwa akidai haki zao yapata miaka 15,
Mungu tuepushe na rushwa za vitenge, pombe, simu, na Ahadi za uongo maana wewe hupendi uongo.
Rev Masa K
Kapewa na nani?Mgombea urais wa chadema amepewa milioni 520 ili agombee urais kupitia chadema. Acha shilingi milioni 12 kila mwezi huyu ndio anasema mtetezi wa wanyonge bwana slaa
du umenena kwa lugha kweli kweliAleluyaaaah, aleluyaaaah.....@@#$%^&&***&@@@<<???&%%%$$#@@@............................@@##%$^^&&<<MDBHYJVVWGVHUbdbvdhdgdvduu!!@22222@@@......aleluyaaaaah aleluyaaaaah............%#@@,,,,,>>>>>>>>>>>>>>>> Amen!!
Msishangae wakuu zangu, nilikuwa nanena kwa lugha wakati wa sala, maana mchungaji Masa kaamsha kunena!!!
amepewa mil 520 na nani,RA? hueleweki au mimi sielewiMgombea urais wa chadema amepewa milioni 520 ili agombee urais kupitia chadema. Acha shilingi milioni 12 kila mwezi huyu ndio anasema mtetezi wa wanyonge bwana slaa
This message has been deleted by Selemani.Asante Mungu kwa kuipenda Tanzania hata ukamtuma mwanamapinduzi wa pekee Dr. W. Slaa ili kila Mtanzania atakayempigia kura apate kuleta ukombozi wa kweli.
Tazama umemtuma kwa wapenda haki ili patakatifu (ikulu) pawe na Amani,
Sasa basi Mungu wasaidie watanzania wenzetu wasio na ujuzi wa Kutambua nani kiongozi Bora wamtambue kuwa amekuwa akidai haki zao yapata miaka 15,
Mungu tuepushe na rushwa za vitenge, pombe, simu, na Ahadi za uongo maana wewe hupendi uongo.
Rev Masa K