Sala na Ibada zilizoshindwa kusaidia" Rome, Jerusalem, Mecca" na duniani kote, ni busara kudhani zinaweza kusaidia Afrika?

Sala na Ibada zilizoshindwa kusaidia" Rome, Jerusalem, Mecca" na duniani kote, ni busara kudhani zinaweza kusaidia Afrika?

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617
Bado ninapata ukakasi na kushindwa kuelewa waafrica hasa viongozi wanaosisitiza sala na maombi katika kupambana na Corona, tena wakisisitiza zaidi kuoamba Mungu aliyeletwa na mabeberu ambao kutwa tunasema hawatutakii mema sisi waafrika na wapo kutukandamiza.

Hivi inawezekanaje watu ambao ndio chimbuka la huyo Mungu lakini wenyewe wameona kwamba katika hili janga hana msaada kwao na kuamua kutumia njia za kitaalamu kwa kufunga nyumba za ibada, lakini sisi ambao tuliletewa na kulazimishwa kumuabudu huyo Mungu wao tunaendelea kuamini atatusaidia?

Vipi tunatilia wasiwasi vifaa vya kupimia Corona vilivyotengenezwa kwa kufuata Misingi ya tafiti ya kisayansi na kusema vimetoka kwa mabeberu, lakini huyo Mungu wa mabeberu tunamkumbatia na kutohoji lolote kuhusu ukweli juu ya uwepo wake?
 
Hivi unajua kuwa muumini anaweza kuombewa na mchungaji akapona na mchungaji asipone.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Trump copies Magufuli

Capture.PNG
 
Mambo ya imani hayapo hivyo unavyofikiri mkuu....
Imani(faith) ni tiba pia,njia rahisi ya kujitibu ni imani kwanza,ukiweka hofu ugonjwa wowote ule utakushambulia to death
 
Wakatoliki tunasalicrosary ya huruma ya Mungu kila siku, atuhurumiae katika Mahabharata hasa hili la corona.??si lazima kukutana tunasali nyumbani kupitaia Catholic TV au Radio Maria au hata mwenyewe ninafanya.
 
Mambo ya imani hayapo hivyo unavyofikiri mkuu....
Imani(faith) ni tiba pia,njia rahisi ya kujitibu ni imani kwanza,ukiweka hofu ugonjwa wowote ule utakushambulia to death
Tatizo langu ni pale tunaposema kwamba wazungu hawatutakii mema sisi waafrica, tukafikia hatua ya kutoamini vifaa vya kisayansi vilivyotenhenezwa na wazungu kwamba vinatumika kutuhujumu, lakini huyu Mungu wao hatujiulizi tunamuamini kupitiliza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli ni kwamba kuna namna kubwa tu haya maombi yamesaidia

Tukubaliane hali kwenye ground sio kama tunavyoaminishwa mitandaoni, nimefanya utafiti wangu mdogo kuangalia hali ipoje kwenye referrals zetu na kugundua hali sio mbaya kama tunavyoaminishwa Twitter

Nimetembele hospital kubwa kwenye miji mikubwa miwili na kuangalia population OPD pamoja na mortuary, kiukweli nilipigwa na butwaa

Frankly speaking I was astonished with how the essence of calmness was taking over these referrals, hakukuwa na tensions wala rushings za aina zozote and what blowed me hugely is tremendous small number of people around these hospital departments chini hata zaidi ya kipindi hakukuwa na hii pandemic

Nimepita pia kwenye central markets hali ni hivyohivyo na nimewauliza traders kuhusu hali zao kiafya na wenzao, nimeshangaa wananiambia ni kweli kama the past 2 weeks karibu kila mtu sokoni alikua na dalili zote za Corona lakini baada ya muda upepo huo ulipita na saivi kila mtu yupo strong na wanaendelea na majukumu yao huku kukiwa Hakuna kifo wala mgonjwa yeyote baina yao

Niliwauliza ni dawa gani walikuwa wakitumia baada ya kujihisi na dalili za Corona wa kaniambia walikuwa wakitumia hizi spices mdalasini, limao, tangawizi, kujifukiza and stuff


Hali sio kama tunavyoaminishwa, I proved myself. Who knows God is in charge, of course He's.
 
Ukweli ni kwamba kuna namna kubwa tu haya maombi yamesaidia

Tukubaliane hali kwenye ground sio kama tunavyoaminishwa mitandaoni, nimefanya utafiti wangu mdogo kuangalia hali ipoje kwenye referrals zetu na kugundua hali sio mbaya kama tunavyoaminishwa Twitter

Nimetembele hospital kubwa kwenye miji mikubwa miwili na kuangalia population OPD pamoja na mortuary, kiukweli nilipigwa na butwaa

Frankly speaking I was astonished with how the essence of calmness was taking over these referrals, hakukuwa na tensions wala rushings za aina zozote and what blowed me hugely is tremendous small number of people around these hospital departments chini hata zaidi ya kipindi hakukuwa na hii pandemic

Nimepita pia kwenye central markets hali ni hivyohivyo na nimewauliza traders kuhusu hali zao kiafya na wenzao, nimeshangaa wananiambia ni kweli kama the past 2 weeks karibu kila mtu sokoni alikua na dalili zote za Corona lakini baada ya muda upepo huo ulipita na saivi kila mtu yupo strong na wanaendelea na majukumu yao huku kukiwa Hakuna kifo wala mgonjwa yeyote baina yao

Niliwauliza ni dawa gani walikuwa wakitumia baada ya kujihisi na dalili za Corona wa kaniambia walikuwa wakitumia hizi spices mdalasini, limao, tangawizi, kujifukiza and stuff


Hali sio kama tunavyoaminishwa, I proved myself. Who knows God is in charge, of course He's.
Kwahiyo unataka kutuaminisha hiyo hali ni kwasababu ya sala na ibada?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo unataka kutuaminisha hiyo hali ni kwasababu ya sala na ibada?.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hali ni tofauti sana tu

US recorded its first case Jan 20
Tanzania recorded first case Mar 16

Tumepishana kama mwezi tu though unaweza sema US no kubwa kulinganisha na Tanzania so let's take NYC as a State

New York population ni 18+ million
Tanzania population ni 60 million

New York coronavirus deaths toll 30+ thousands
Tanzania coronavirus deaths toll 30 (just 30)

Kipo kitu cha kujiuliza zaidi ya masuala ya kisayansi.

Najua zipo nchi hata mgonjwa wa Corona hawana na hawajui nini maana ya maombi lakini bado lipo la kujiuliza kwenye hii Corona na mwenendo wake duniani kwa ujumla.
 
Hali ni tofauti sana tu

US recorded its first case Jan 20
Tanzania recorded first case Mar 16

Tumepishana kama mwezi tu though unaweza sema US no kubwa kulinganisha na Tanzania so let's take NYC as a State

New York population ni 18+ million
Tanzania population ni 60 million

New York coronavirus deaths toll 30+ thousands
Tanzania coronavirus deaths toll 30 (just 30)

Kipo kitu cha kujiuliza zaidi ya masuala ya kisayansi.

Najua zipo nchi hata mgonjwa wa Corona hawana na hawajui nini maana ya maombi lakini bado lipo la kujiuliza kwenye hii Corona na mwenendo wake duniani kwa ujumla.
China Population ni 1.4B lakini walipmufa hawazidi 4000, na China hawamjui Mungu 98% ya watu wake.

USA population ni 300M, vifo hadi sasa ni 78,000 na bado wanaendelea kufa. USA ni officially Christian Nation na wanamtaja Mungu kila dakika, vivyo hivyo kwa Italy, UK na Spain.

What is the role of God?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona rosary imeshindwa kuwasaidia Italia,huku kwetu itaweza kweli?!
Wakatoliki tunasalicrosary ya huruma ya Mungu kila siku, atuhurumiae katika Mahabharata hasa hili la corona.??si lazima kukutana tunasali nyumbani kupitaia Catholic TV au Radio Maria au hata mwenyewe ninafanya.
 
Back
Top Bottom