Sala ya baba yetu kisharobaro

The only

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2011
Posts
10,805
Reaction score
14,181
BABA YETU KISHAROBARO

Baba yetu unasizi majuu ,jinalako lihit sana utusome na mamkate mabaga na mazagazaga..utupotezee tukiharibu baab kama na sisi tunavowachukulia poa washkaji wakizingua, one time nini usitupe masoo ya kutupimia na utuokoe kwenye masoo ,ameen meen
 
Ndugu, wenyewe masharouharo wanaweka neno "men" kila mwisho wa sentensi!!
 
wakati wa kushiriki sakramenti..

Padri vipi mrija meen

Na baada ya kupata sakramenti..

Hey meeen, naomba tisu meeen,


Kupiga magoti kwa maungamo..

Wazee wa kanisa..., hakuna sponchi meeen,
 
oooh....!!mmmaaa...ma!!
 
Mungu Hadhihakiwi, Ushindwe na Ulegee kwa Jina lipitalo Majina Yote.!
 
Kijana umepotea na unahitaji sala ya toba, una kashifu imani yetu ushindwe na upotee katika uso wa dunia
brother imeandikwa usilaani nawe utalaaniwa .mimi nakutakia fanaka na udumu salama usoni mwa dunia
 
Hahahahahaaaa, that was so funny meeeen.......
Wakuu hapa tunajifurahisha na hakuna mtu aliyekusudia kumkwaza Mungu..
Acheni kumhukumu mleta mada manake hata vitabu vinatuonya, tusihukumu ili nasi tusihukumiwe..
 
it isnt fun! mwogopeni Mingu jamani. hamuoni laana inavyotupiga? ni shauri ya hofu ya Mungu kukosekana hasa kwa wale tuliowapa dhamana ya kutuongoza. Mmemsikia Rev. Adamhajj Mohammed?
 
Mi
it isnt fun! mwogopeni Mingu jamani. hamuoni laana inavyotupiga? ni shauri ya hofu ya Mungu kukosekana hasa kwa wale tuliowapa dhamana ya kutuongoza. Mmemsikia Rev. Adamhajj Mohammed?
Mingu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…