Elections 2010 Sala ya kuombea ulinzi kura

Elections 2010 Sala ya kuombea ulinzi kura

Sir R

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2009
Posts
2,175
Reaction score
300
Ee Mungu, mweza wa yote, muumba wa mbingu na nchi. Najinyenyekeza mbele zako kwani najua we ni mkuu haufananishwi na chochote.

Naomba uifanye kura yangu sawa na kaa la moto kwa wale watakaotaka kuiba kura yangu.
Wapofushe, wachanganyikiwe; walaaniwe (Kumbukumbu 27:17)
Uzao wao ulaaniwe, wawe mazezeta.

Mungu unilindie kura yangu.
 
Back
Top Bottom