Salaaam kwenu wajumbe wa uchaguzi

Salaaam kwenu wajumbe wa uchaguzi

karue

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
203
Reaction score
435
Niwambie tu kwamba mnyonge m yongeni lakini haki yake mpeni.

Hivi Nani asiyejua kuwa kwenye utawala wa karia timu ya taifa ilifika Afcon? Nani asiyejua timu ya vijana na wanawake zimepanda chati?
Sasa hivi mashindano ya azam federation yanafika kila Kona ya Tanzania.

Tunataka nini cha ziada? Kama mapungufu yapo tu kwa kila binadamu hapa hakuna mtu mkamilifu

Tumpe Tena miaka mingine karia ili tuone maono yake mengine

Nawasalimu kwa jina la jamhuri
 
Ilifika Afcon sababu ya uswahiba wa mwendazake na Museveni.

Mechi ya kufuzu tulipocheza na Uganda tulionewa huruma.

Je kule Misri tuliambulia nini? Tulipigwa kipigo cha Umbwa koko
 
Ilifika Afcon sababu ya uswahiba wa mwendazake na Museveni.

Mechi ya kufuzu tulipocheza na Uganda tulionewa huruma.

Je kule Misri tuliambulia nini? Tulipigwa kipigo cha Umbwa koko
Kwani mseveni halikuwepo uwanjani?
Tukubaki tu kwamba hamasa ilikuwa kubwa na vijana wetu walijituma vilivyo
 
Kwani mseveni halikuwepo uwanjani?
Tukubaki tu kwamba hamasa ilikuwa kubwa na vijana wetu walijituma vilivyo
Tulishindwaje kutoa hamasa kule Misri, kama hiyo ndio ilikuwa mbinu kwa nini hatukuifanya?

Mashindano ya CHAN pia tuliambulia nini?
 
Sema tu kweli una maslahi naye binafsi na club yako! This guy is toxic and divisive!
Tenga alikuwa Rais wa TFF Utawala wa Kikwete lakini hakuipendelea Yanga Abadan Ingawa ni mwana Yanga!
 
Moja ya kitu kinachoniudhi Tanzania ni viongozi kuwa na Masilahi Binafsi ya Timu yake ndio maana wakitoka madalakani utaona kabisa.
Ile timu aliokuwa akiipendelea inaanza kushuka.

Ndio maana huwa hatufiki Mbali na kitu kingine badala ya kuinua timu zingine yeye akiingia unakuta timu zile zilizojuu zinabaki hapo hapo juu na zile zingine zinazidi kufa sasa sielewi sera zake zile ameweka mfukoni au La! Maana dah! Ngoja niishie hapo.
 
Hiyo sip sababu mkuu, Karia anachangamoto. Hatutaki mtu mwenye makandokando, kwenye utawala wake, unaisahau Yanga mabingwa wa kihistirua kwenye ratiba?
Ligi yetu ni mmoja Kati ya ligi za kwanza duniani kuanza mapema sababu hakukuwa na korona. Sasa leo Ndio ligi ya mwisho kuisha, bado huoni lengo la yongozi hapo? Kuna mwengi ya kusema ila acha tukae kimya
 
Kwakweli Karia anatosha,kafanya kazi kubwa kweli,,kweli,na ndugu zangu nawaomba sana tumuombee Karia ashinde uchaguzi huu.
 
Sema tu kweli una maslahi naye binafsi na club yako! This guy is toxic and divisive!
Tenga alikuwa Rais wa TFF Utawala wa Kikwete lakini hakuipendelea Yanga Abadan Ingawa ni mwana Yanga!

Mchagueni kijana msomi anaejua soccer kama alivyokuwa Tenga; Ally MAYAI!!!
 
mbwembwe zote hizi za kugombania uongozi TFF ni kwa sababu ya mpunga wa mil. 225 alioweka AZAM pale, wagombea sasahivi wanajua kabisa pale TFF hapatakuwa na njaa tena.. kutakuwa na posho za kufa mtu !!!! then wanamponda karia wakati ndo kapigania kuwepo kwa udhamini huu. mwacheni mtu wa watu maana mi bado sijaona kiongozi aliyewahi fanikisha mambo ya michezo tz kama karia
 
Back
Top Bottom