Salaam enyi wenye busara nyingi

Joined
Jul 21, 2012
Posts
86
Reaction score
21
Habari wanajamvi,

Ninajisikia bahati kuwa hapa pamoja nanyi tukisaidiana kuipigisha dunia hatua moja mbele zaidi.

Hongereni kwa kazi kubwa na tafadhali nipokeeni.
 
Karibu sana, umekuja na kinywaji mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…