Baba ilumba
Member
- Apr 18, 2020
- 37
- 49
Habarini wana jf ni tumaini langu kuwa nyote mu wazima wa afya kabisa.
Leo ningependa tutoe salaam za kumbukizi kwa ndugu,marafiki,wazazi,walezi na wengineo tuliowahi kukutana nao maishani.
Nikianza na mimi salaam zangu ziwafikie marafiki zangu wote tuliowahi kuwa pamoja na pia kwa tuliopotezana ninawakumbuka sana.
Salaam zangu za pili ziiendee familia yangu na hasa kwa make wangu mama ilumba I love you very much dear.....
Tunaomba mtiririke wanajf kwa kutoa salaam za kumbukizi kwa wote muwapendao...🗽
Leo ningependa tutoe salaam za kumbukizi kwa ndugu,marafiki,wazazi,walezi na wengineo tuliowahi kukutana nao maishani.
Nikianza na mimi salaam zangu ziwafikie marafiki zangu wote tuliowahi kuwa pamoja na pia kwa tuliopotezana ninawakumbuka sana.
Salaam zangu za pili ziiendee familia yangu na hasa kwa make wangu mama ilumba I love you very much dear.....
Tunaomba mtiririke wanajf kwa kutoa salaam za kumbukizi kwa wote muwapendao...🗽