usijali ndugu yangu Marx naona we ni Mmaxist wa kweli, usiwe na haraka mjomba taratibu 2sije feli, we tulia nami nitulie lakini hakiki usalama upo kwani babylony ni wengi wameweka manowari, upande wangu ndo wako ndugu yangu japo wangu na kamba mguuni naomba uniamini na tule kiapo cha utii yaani kufa na kuishi ili maadui wasituzidi. salaaam hizooo![the mo ye shake hands the mo ye nuh fren's]
aah! ooh! naam! ni pumzi iliyo tumaini na isiyoshakani! naamini kile ambacho uliathamini na baadaye kikatumika na baadaye ukafika kwa walioamini' si mie mwenye fimbo na wala sikuchapa mie lakini yamegawanyika' namshukuru mola,ALLAH,JAH,JEHOVA nimefika sayuni' Nina ujumbe wa wengi wanokuja ingawa sina hakika iwapo wote watafika hapa duniani' nimechoka sana naomba nafasi nipumzike, kesho ntawahabarisha nlipokuwa kwake! ENYI MLIOAMINI.. NIPOKEENI...
aah! ooh! naam! ni pumzi iliyo tumaini na isiyoshakani! naamini kile ambacho uliathamini na baadaye kikatumika na baadaye ukafika kwa walioamini' si mie mwenye fimbo na wala sikuchapa mie lakini yamegawanyika' namshukuru mola,ALLAH,JAH,JEHOVA nimefika sayuni' Nina ujumbe wa wengi wanokuja ingawa sina hakika iwapo wote watafika hapa duniani' nimechoka sana naomba nafasi nipumzike, kesho ntawahabarisha nlipokuwa kwake! ENYI MLIOAMINI.. NIPOKEENI...
usijali ndugu yangu Marx naona we ni Mmaxist wa kweli, usiwe na haraka mjomba taratibu 2sije feli, we tulia nami nitulie lakini hakiki usalama upo kwani babylony ni wengi wameweka manowari, upande wangu ndo wako ndugu yangu japo wangu na kamba mguuni naomba uniamini na tule kiapo cha utii yaani kufa na kuishi ili maadui wasituzidi. salaaam hizooo![the mo ye shake hands the mo ye nuh fren's]
Swahilian, swahilian, wa gwan? Bring da ujumbe.
Huu undugu bila ya kujuwa unatoka wapi, na una ujumbe gani, unanitia wasiwasi.