Salaam za Xmas

Kwanza nilisahau password, pili naingia huku naona vitu hata sivielewi, khaaaa!!
Hahahaa nilijua hili lishamba langu limekwama mahali. Ulisahau kweli au ndo mabadiliko ya jf tu, maana jana ile me mwenyewe nalog in nakuta password imegoma
 
Hahahaa nilijua hili lishamba langu limekwama mahali. Ulisahau kweli au ndo mabadiliko ya jf tu, maana jana ile me mwenyewe nalog in nakuta password imegoma


Mie nilisahau mpaka nikakumbushwa, sikuingia huku tokea juzi sasa leo ndio nikaikumbuka jf, kila nikilog in inakataa kumbe nilibadiligi password ila nikasahau, ikabidi niulize
 
Mie nilisahau mpaka nikakumbushwa, sikuingia huku tokea juzi sasa leo ndio nikaikumbuka jf, kila nikilog in inakataa kumbe nilibadiligi password ila nikasahau, ikabidi niulize
Teh password nitajie tu mie ili niwe nakukumbusha[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…