Salaam

mshewaman

Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
48
Reaction score
7
Nimekuwa msomaji mfuatiliaji wa majadiliano mengi humu. Ingawa kuna majadiliano mengine yasiyo NA tija, lakini majadiliano mengi Sana Yana tija NA yanatoa ELIMU ya uhakikka KWA sisi tuliokuwa wasomaji tu. Kuanzia sasa nami nitakuwa nachangia NA kutoa hoja KILA nikipata wasaa. Ahsanteni sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…